Nataka kuanzisha harambee ya kumnunulia Rais Samia shamba Kaliua ili aachane na siasa 2025

Nataka kuanzisha harambee ya kumnunulia Rais Samia shamba Kaliua ili aachane na siasa 2025

Jana nilishtuka baada ya kuona wakinamama waliochanga mil 200 ya kumchukulia mama Samia fomu ya kugombea urais.

Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri.

Nataka kuanzisha Harambee ya kumnunulia mama Samia 2025 ili aachane na siasa.

Shamba atanunuliwa maeneo ya Lumbe Kaliua ambapo atajikita katika kilimo cha tumbaku.

Hii ni kwa ajili ya kucounterbalance na wale wanaodhani mama anaupiga mwingi.

Niko safarini kuelekea Kaliua kuanza mchakato wa kupata shamba.
Tangu ampige mpendwa jpm vijembe na kusema watumishi wale kwa urefu wa kamba zao za malisho sina imani naye. Moyoni kwake ni mbinafsi na mfujaji. Nimependezwa na wazo la kuchanga ili kumnunulia shamba astaafu 2025. Ili nchi kuendelea tunahitaji kiongozi aina ya Jpm.
 
Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri
Wale wapuuzi kina kipara wanaojikorombeza kwake wanampoteza sana. Yaani baraza la mawaziri kuna vichwa ila huyu kipara ngoto ndio mjinga anayejiamini bure
 
Tangu ampige mpendwa jpm vijembe na kusema watumishi wale kwa urefu wa kamba zao za malisho sina imani naye. Moyoni kwake ni mbinafsi na mfujaji. Nimependezwa na wazo la kuchanga ili kumnunulia shamba astaafu 2025. Ili nchi kuendelea tunahitaji kiongozi aina ya Jpm.
Tulipomshauri apunguze safari za nje, zinafilisi hazina dollars, akaongeza safari Kwa kutukejeli.

Sasa kiongozi mwenye shingo ngumu wa nini?
 
Jana nilishtuka baada ya kuona wakinamama waliochanga mil 200 ya kumchukulia mama Samia fomu ya kugombea urais.

Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri.

Nataka kuanzisha Harambee ya kumnunulia mama Samia 2025 ili aachane na siasa.

Shamba atanunuliwa maeneo ya Lumbe Kaliua ambapo atajikita katika kilimo cha tumbaku.

Hii ni kwa ajili ya kucounterbalance na wale wanaodhani mama anaupiga mwingi.

Niko safarini kuelekea Kaliua kuanza mchakato wa kupata shamba.
Bora liende likalime huko
 
Jana nilishtuka baada ya kuona wakinamama waliochanga mil 200 ya kumchukulia mama Samia fomu ya kugombea urais.

Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri.

Nataka kuanzisha Harambee ya kumnunulia mama Samia 2025 ili aachane na siasa.

Shamba atanunuliwa maeneo ya Lumbe Kaliua ambapo atajikita katika kilimo cha tumbaku.

Hii ni kwa ajili ya kucounterbalance na wale wanaodhani mama anaupiga mwingi.

Niko safarini kuelekea Kaliua kuanza mchakato wa kupata shamba.
Umesahau kuwa ardhi yote ndani ya nchi ipo chini yake ( anaweza kujimegea popote) na pesa yote ni yake (wasaidizi, wapambe na machawa wanaimba hivyo)?
Cha ajabu hao wanaosema anatoa pesa zote wanamchangia tena.
 
Back
Top Bottom