ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wewe unalimia wapi? Wanyonge walikuwepo awamu ya 5Umekuwa mnyonge ghafula,
Tunamnunulia shamba akalime Kisha tuone kama utaendeleza uchawa mkiwa shambani!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unalimia wapi? Wanyonge walikuwepo awamu ya 5Umekuwa mnyonge ghafula,
Tunamnunulia shamba akalime Kisha tuone kama utaendeleza uchawa mkiwa shambani!!
Tangu ampige mpendwa jpm vijembe na kusema watumishi wale kwa urefu wa kamba zao za malisho sina imani naye. Moyoni kwake ni mbinafsi na mfujaji. Nimependezwa na wazo la kuchanga ili kumnunulia shamba astaafu 2025. Ili nchi kuendelea tunahitaji kiongozi aina ya Jpm.Jana nilishtuka baada ya kuona wakinamama waliochanga mil 200 ya kumchukulia mama Samia fomu ya kugombea urais.
Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri.
Nataka kuanzisha Harambee ya kumnunulia mama Samia 2025 ili aachane na siasa.
Shamba atanunuliwa maeneo ya Lumbe Kaliua ambapo atajikita katika kilimo cha tumbaku.
Hii ni kwa ajili ya kucounterbalance na wale wanaodhani mama anaupiga mwingi.
Niko safarini kuelekea Kaliua kuanza mchakato wa kupata shamba.
Utaenda naye mwenyewe🚶😂 kwenye huu mchango utajikuta peke yako, ukipata hata watu watano nicheki na mimi niunge mkono juhudi
Ila all in all, Uchaguzi ujao Mungu akijaalia (tusisahau yeye ndio muweza wa yote) tunaenda na Bi Mkubwa tu
Wale wapuuzi kina kipara wanaojikorombeza kwake wanampoteza sana. Yaani baraza la mawaziri kuna vichwa ila huyu kipara ngoto ndio mjinga anayejiamini bureTukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri
Tulipomshauri apunguze safari za nje, zinafilisi hazina dollars, akaongeza safari Kwa kutukejeli.Tangu ampige mpendwa jpm vijembe na kusema watumishi wale kwa urefu wa kamba zao za malisho sina imani naye. Moyoni kwake ni mbinafsi na mfujaji. Nimependezwa na wazo la kuchanga ili kumnunulia shamba astaafu 2025. Ili nchi kuendelea tunahitaji kiongozi aina ya Jpm.
Bora liende likalime hukoJana nilishtuka baada ya kuona wakinamama waliochanga mil 200 ya kumchukulia mama Samia fomu ya kugombea urais.
Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri.
Nataka kuanzisha Harambee ya kumnunulia mama Samia 2025 ili aachane na siasa.
Shamba atanunuliwa maeneo ya Lumbe Kaliua ambapo atajikita katika kilimo cha tumbaku.
Hii ni kwa ajili ya kucounterbalance na wale wanaodhani mama anaupiga mwingi.
Niko safarini kuelekea Kaliua kuanza mchakato wa kupata shamba.
Yap,tumfungulie bonge la botik ,Dubai,tumwekee wafanyakazi smart,yeye awe anapigwa kiyoyozi,akichezea miamala tu.Mimi napendekeza tumuanzishie biashara ya kuuza nguo za kike. Itamfaa zaidi.
Mkoa wa Tabora,Kuna Hali ya hewa ya kustawisha tumbaku,kwa wilaya kama Urambo ,kaliua.Hivi tumbaku inakubali kila mkoa?
Mashamba ya kanda ya mashariki na wengi wanayo mashamba ila hawalimi bali wanayahodhi tu[emoji23][emoji23][emoji119]
Umesahau kuwa ardhi yote ndani ya nchi ipo chini yake ( anaweza kujimegea popote) na pesa yote ni yake (wasaidizi, wapambe na machawa wanaimba hivyo)?Jana nilishtuka baada ya kuona wakinamama waliochanga mil 200 ya kumchukulia mama Samia fomu ya kugombea urais.
Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri.
Nataka kuanzisha Harambee ya kumnunulia mama Samia 2025 ili aachane na siasa.
Shamba atanunuliwa maeneo ya Lumbe Kaliua ambapo atajikita katika kilimo cha tumbaku.
Hii ni kwa ajili ya kucounterbalance na wale wanaodhani mama anaupiga mwingi.
Niko safarini kuelekea Kaliua kuanza mchakato wa kupata shamba.
Mapori vipi ya kutosha tujeMkoa wa Tabora,Kuna Hali ya hewa ya kustawisha tumbaku,kwa wilaya kama Urambo ,kaliua.
[emoji1][emoji1][emoji1] kweli wewe MSAGA SUMU, yaani mimi niliwashangaa wale!Mzee wetu Hafidh ni mdau wa Sigara,pia itasaidia kupunguza gharama za maisha