Nataka kuanzisha harambee ya kumnunulia Rais Samia shamba Kaliua ili aachane na siasa 2025

Nataka kuanzisha harambee ya kumnunulia Rais Samia shamba Kaliua ili aachane na siasa 2025

Tukimalizana na Samia tunahamia kwa Mbowe tunachanga chochote tulicho nacho ili aache kutumia mahabusu ya magereza kama fursa ya kuchangiwa michango ya wakili alafu kibunda anaenda kuendelezea miradi.
 
Mimi naon haina haja ya kuchanga tumuache mpka mungu atakapomchukua maana huu mwili atauacha huku duniani tutapewa miiili mipya tukifika kwa baba 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Shida yote hiyo ya nini wakati ana kiinua mgongo kinono mpaka kifo kama rais mstaafu
Acha tujitese tu mshana maana huu ndio mchezo wa siku hizi, hawa viongozi wetu wanapenda sana kubembelezwa... wacha tumbembeleze aende asijedhani tuko kimya ndio tunamuelewa kama ulivyoandika pale juu
 
Back
Top Bottom