Nataka kuanzisha umissionari wa kupeleka Ukristo kutoka Afrika kwenda Ulaya na Marekani, naombeni mawazo

Achana na story za mapanafricanist, missionary walikuja kama wao
 
Wapo wamisionari wengi sana vijana wa kikatoliki na hata madhehebu mengine nchi za Ulaya, America, Asia nk. Jiunge nao uende kuhubiri Enjili duniani kote!
 
Wapo wamisionari wengi sana vijana wa kikatoliki na hata madhehebu mengine nchi za Ulaya, America, Asia nk. Jiunge nao uende kuhubiri Enjili duniani kote!
Asante sana, connection zao. Hata link
 
Una umri upi na elimu umefika level gani? Je wewe ni mkatoliki aliyebatizwa?
Kama hadi niwe mkatoliki, basi ntatafuta mfumo tofauti wa kwenda na vijana wangu tuwasaidie hawa jamaa.
 
haya ni mafunuo, hadi ufunuliwe. ni kazi ya Roho Mtakatifu baada ya mtu kuokolewa. njoo kwa Yesu upate wokovu, uyajue haya na mengine mengi.
Acha kuandika ujinga mafunuo , mafunuo taka taka tupu nyie watu wa namna hii ni wapumbavu sana mkishindwa swali mnakimbilia mafunuo.

Kwamba wewe peke yako dunia nzima ndio una hayo mafunuo ya ukristo sio dini huu ni upumbavu acha mara moja
 
Kama hadi niwe mkatoliki, basi ntatafuta mfumo tofauti wa kwenda na vijana wangu tuwasaidie hawa jamaa.
Sawa pia ila ujue kwamba ule ni mtindo wa maisha wa watu na hawaoni kama kuna shida na wanalindwa na sheria pia. Ukiingilia mfano mambo ya ushoga katika nchi inayohalalisha mambo hayo waweza kujikuta wewe unashtakiwa kwa uhalifu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…