physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 859
- 1,036
Huu ndio ushauri sahihi.Ufuate.Watoto wametoka kufiwa na baba yao, halafu tena familia inataka kuanza kuwahangaishaðŸ˜
Kama baba yao hakuona haja ya kuwapima hao watoto DNA, kwa nini wao watake kuwapima? Shida ni nini?
Kimsingi jamaa aongeze nyama ili apewe ushauri unaoeleweka, ila kwa content aliyotoa, bado hakuna sababu ya msingi ya kupima hao watoto DNA.
Acha hizo hata wewe ukipimwa DNA utakuta sio wa ukoo wakoMwaka jana nimefiwa na kaka yngu na ameacha watoto 4 watatu wako primary ila kuna jambo kidgo limenipa hofu km inawezekana ili nijiridhishe. Kifupi hawa watoto wote kwa sasa hvi mimi ndio mlezi wao kwa kila kitu, ni sehemu ya familia yngu na mama yao ilibidi tumbakishe nyumbn kwajili ya kusaidia ulezi sababu jmaa bdo ni wadgo.
Nisiende mbali sna nataka kufanya dna kwahawa wtt kupitia mimi au babu yao je! Inawezekana?
Mkuu uko sahihi ntakujia inboxWatoto wametoka kufiwa na baba yao, halafu tena familia inataka kuanza kuwahangaishaðŸ˜
Kama baba yao hakuona haja ya kuwapima hao watoto DNA, kwa nini wao watake kuwapima? Shida ni nini?
Kimsingi jamaa aongeze nyama ili apewe ushauri unaoeleweka, ila kwa content aliyotoa, bado hakuna sababu ya msingi ya kupima hao watoto DNA.
Je Wewe ukiwa ndiye tatizo( mtoto wa nje)?Mwaka jana nimefiwa na kaka yngu na ameacha watoto 4 watatu wako primary ila kuna jambo kidgo limenipa hofu km inawezekana ili nijiridhishe. Kifupi hawa watoto wote kwa sasa hvi mimi ndio mlezi wao kwa kila kitu, ni sehemu ya familia yngu na mama yao ilibidi tumbakishe nyumbn kwajili ya kusaidia ulezi sababu jmaa bdo ni wadgo.
Nisiende mbali sna nataka kufanya dna kwahawa wtt kupitia mimi au babu yao je! Inawezekana?
nilitaka kujiridhisha tu kutokana na situation niliyokutana nayoUnawapima ili iweje kaka Yako alikuambia kuwa akifa uwapime au ni umbea unakusumbua .au una mipanga mibaya nyuma ya pazia
Sahihi mkuuHuu ndio ushauri sahihi.Ufuate.
Hii ilikuwa haihusiani na wanandugu ni mimi mwenyewe binafsi kuna jambo niligundua kwa huyu bibie ndio ilipekea kuwaza hivi lkn nashukuru baadhi ya washauri wamekata kiu yngu Nobunaga Mkushi Mbishi Etugrul Bey pamoja na Top for BWanandugu mshaanza nongwa!
Utapoteza hela na muda wako never huwez ambiwa sio watoto wenuDah! we acha tu mkuu ni story kdgo acha tu ibaki nyuma ya pazia ila ntajaribu
Mama yupo ila hajawahi kuwaza nilichowaza mimiDNA halali ni kutoka kwa mama yenu mzazi. Yawezekana wewe na kaka yako si baba mmoja ingawa ulikariri hilo.
Kama mama yako mzazi yupo au bibi yako Yu hai fanya hivyo.
Kinyume na hapo tulia tuliiiiiiiiii