Suhendra
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 1,625
- 3,307
Hawataki watoto wa rithi., ndio maana wanatafutiwa sababu baba mzazi hakuwapima we we Nani..??!!Shida ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawataki watoto wa rithi., ndio maana wanatafutiwa sababu baba mzazi hakuwapima we we Nani..??!!Shida ni nini?
Anatema mzigoDNA zikipishana utafanyaje?
Kwamba you are more perceptive than your late brother?Hii ilikuwa haihusiani na wanandugu ni mimi mwenyewe binafsi kuna jambo niligundua kwa huyu bibie ndio ilipekea kuwaza hivi lkn nashukuru baadhi ya washauri wamekata kiu yngu Nobunaga Mkushi Mbishi Etugrul Bey pamoja na Top for B
Yaani hawa kina bamdogo sijui bamkubwa, shangazi sio watu bhana hapo ni either anaona mzigo kuwalea kama kaka yake hakuwaachia chochote kitu or mali wanataka wachukue kwa mjane kisa kulikuwa na vistori nyuma ya pazia kwamba watoto sio wa ndugu yao hivo mjane na watoto hawana haki na watafukuzwa akyananiHawataki watoto wa rithi., ndio maana wanatafutiwa sababu baba mzazi hakuwapima we we Nani..??!!
Itoshe tu kusema mawazo ya wengi hukosi la kuondoka naloKwamba you are more perceptive than your late brother?
Anyway, ni vizuri kama umeamua kuacha familia ya kaka yako ianze maisha mapya kwa amani.
huku umeenda mbali sna hawa madogo kwngu sio mzigo hta japo kipato ni kawaida na mpka baba yao ananikabidhi mimi wakati wa nyakati za mwisho za uhai wake means alikuwa na uhakika na anayemuachia na ndio iko hvyo na kwa baadhi ya maoni ya wadau hili jambo nimeshalifungaYaani hawa kina bamdogo sijui bamkubwa, shangazi sio watu bhana hapo ni either anaona mzigo kuwalea kama kaka yake hakuwaachia chochote kitu or mali wanataka wachukue kwa mjane kisa kulikuwa na vistori nyuma ya pazia kwamba watoto sio wa ndugu yao hivo mjane na watoto hawana haki na watafukuzwa akyanani
Mtoto mdogo anaingia kwenye mkondo wa kukosa mahitaji ya msingi either Kwa tamaa ya mama au upumbavu wa baba🤔🤔Anatema mzigo
Mkuu walee, hutakaa upungukiwe kwa kuwahudumia watoto wadogo🤔🤔mm mzee wangu ana uchumi wa kawaida sana lkn aliwa-adopt watoto watano na anawasomesha fresh tuhuku umeenda mbali sna hawa madogo kwngu sio mzigo hta japo kipato ni kawaida na mpka baba yao ananikabidhi mimi wakati wa nyakati za mwisho za uhai wake means alikuwa na uhakika na anayemuachia na ndio iko hvyo na kwa baadhi ya maoni ya wadau hili jambo nimeshalifunga
Limepita hiliMkuu walee, hutakaa upungukiwe kwa kuwahudumia watoto wadogo🤔🤔mm mzee wangu ana uchumi wa kawaida sana lkn aliwa-adopt watoto watano na anawasomesha fresh tu
Au roho mbaya ya ndugu wa baba, kama kulikuwa na doubts si baba yao ndo angewapima before hata wafike watatuMtoto mdogo anaingia kwenye mkondo wa kukosa mahitaji ya msingi either Kwa tamaa ya mama au upumbavu wa baba🤔🤔
Familia zinakuaga na Siri sana Mabati ya ALAF yanaficha mengiAu roho mbaya ya ndugu wa baba, kama kulikuwa na doubts si baba yao ndo angewapima before hata wafike watatu
Kwanini kaka yako aliwakubali wanae na hakuwa na mpango wa DNA test au Kunatumaokoto kidogo tunawahusu hao watotoMwaka jana nimefiwa na kaka yngu na ameacha watoto 4 watatu wako primary ila kuna jambo kidgo limenipa hofu kama inawezekana ili nijiridhishe. Kifupi hawa watoto wote kwa sasa hvi mimi ndio mlezi wao kwa kila kitu, ni sehemu ya familia yngu na mama yao ilibidi tumbakishe nyumbani kwajili ya kusaidia ulezi sababu jamaa bado ni wadogo.
Nisiende mbali sana nataka kufanya dna kwahawa watoto kupitia mimi au babu yao je! Inawezekana?
Hana lolote anataka kukimbia malez ya madogoWatoto wametoka kufiwa na baba yao, halafu tena familia inataka kuanza kuwahangaisha😭
Kama baba yao hakuona haja ya kuwapima hao watoto DNA, kwa nini wao watake kuwapima? Shida ni nini?
Kimsingi jamaa aongeze nyama ili apewe ushauri unaoeleweka, ila kwa content aliyotoa, bado hakuna sababu ya msingi ya kupima hao watoto DNA.
Ndugu wa upande wa baba ni watu poa sana hasa kwa makabila ya nyanda Za juu kusiniHawa watoto safari yao ya maisha itakuwa ngumu sana, hata kama kuna story nyuma ya pazia hapo ushaanza kuona mzigo, unataka kupata uhakika ili utemane na mzigo wa malezi ya watoto wa kaka yako! Nazidi kuamini ndugu wa upande wa baba sio watu