Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Mimi nitajibu maswali yako tu.
Je, inawezekana? Jibu ni Ndiyo.
Kisha nakurudishia swali, una uhakika wewe na kaka yako ni watoto wa baba mmoja? Huna.
Kitakachotoa majibu sahihi ni DNA za marehemu kaka yako na watoto. Je, unaweza kupata DNA za marehemu, jibu ni NDIYO.
Hayo mengine yabaki juu yako.
Wewe ndio umejibu swali inavyotakiwa.
Hawa wengine naona wanaendeshwa na mihemko