Nataka kufanya DNA test ya watoto wa kaka kupitia mimi je inawezekana?

Nataka kufanya DNA test ya watoto wa kaka kupitia mimi je inawezekana?

Sina hakika ila nadhan inawezekana.cha msingi ni kwamba dunia ya leo huna sababu yakuishi kwa dukuduku moyoni kwa jambo ambalo unaweza kulipatia ufumbuzi au majibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mtoa mada unafurahisha
Sasa unaomba ushauri ili usaidiwe lakini apo apo unasema Kuna stori nyuma ya pazia
Asa watu watakupaje ushauri ulio sahihi wakati kiini cha iyo stori yako hutaki kuisema apa
Swali la mtoa mada liko wazi,yeye kauliza kama kupitia yeye vipimo vinaweza kutoa majibu sahihi kwa watoto wa ndugu yake.Hayo mengine tunatafuta umbea tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka jana nimefiwa na kaka yngu na ameacha watoto 4 watatu wako primary ila kuna jambo kidgo limenipa hofu kama inawezekana ili nijiridhishe.

Kifupi hawa watoto wote kwa sasa hivi mimi ndio mlezi wao kwa kila kitu, ni sehemu ya familia yangu na mama yao ilibidi tumbakishe nyumbani kwajili ya kusaidia ulezi sababu jamaa bado ni wadogo.

Nisiende mbali sana nataka kufanya DNA kwahawa watoto kupitia mimi au babu yao je! Inawezekana?
Vipi kama na weww sio mtoto wa Halali kwenye Familia yenu??
 
• Shida iko wapi, mpaka umewaza kufanya hivyo mkuu....

• DNA za Tanzania haziaminiki, utapoteza hela tu.
Zimeingiliwa na mfumo.
Serikali inaamua majibu.
Lengo kupunguza Street Children.
 
Mkuu awali ya vyote pima wewe na baba yako kama kweli kaka yako ni ndugu yenu, ndo huanze kushughurikia au dogo, hapo kwanza nyie kwa nyie mnaweza mkapotezana, fanya wakika kwanza wenu ndo uingize hao third party,.......mambo ya DNA sio ya kuchezea chezea tena Tanzania maabara haziko accurate utaumia bure na kuumiza watoto.
Maabara hazina shida hata kidogo.

Ila tunaangalia ni namna gani majibu yataleta impact kwa jamii.

Kwasasa % kubwa za DNA zinasoma connect. 95%.

Kwani hamkumsikia Kabudi? Sisi wababa wakitanzania muhimu ni kuwa (Social Fathers) hayo ya Biological hayatuhusu.
 
Zimeingiliwa na mfumo.
Serikali inaamua majibu.
Lengo kupunguza Street Children.
Hii ndo point sasa, tukubali kabisa, sisi wanaume watoto tunaolea asilimia kubwa siyo watoto wetu... Sasa hizo DNA ikifanya kweli watoto watajaa mtaani bila baba zao.
 
Utakuta hizo mali kidogo za marehemu ndio zinakufanya uwaze uwo ujinga,unataka kuwatimua watoto mgawane mali tu,hauna lolote
 
Tatzo DNA ni za mchongo

Lazm watoe positive ili watoto wapate malez
 
Watoto wametoka kufiwa na baba yao, halafu tena familia inataka kuanza kuwahangaisha[emoji24]

Kama baba yao hakuona haja ya kuwapima hao watoto DNA, kwa nini wao watake kuwapima? Shida ni nini?

Kimsingi jamaa aongeze nyama ili apewe ushauri unaoeleweka, ila kwa content aliyotoa, bado hakuna sababu ya msingi ya kupima hao watoto DNA.
Ila...
 
DNA, kama uwezo upo, nenda Nairobi au wakuelekeze jinsi ya kutuma sample kama inawezekana.

Nadhani kwa sasa, DNA inapaswa kuwa takwa la kisheria kama cheti cha kuzaliwa, ilazimishwe ifanye ndani ya siku 30 za uzazi.

Ijulikane moja mapema na wajue pia kuwa akiwa kuwa kisima cha kijiji basi atahudumiwa na kijiji.

Koo moja inachanganyika changanyika mpaka inakuwa tabu!
Nilishawazaga hii,serikali ingeamua kwamba DNA ingekuwa inapimwa palepale kabla ya mama hajarudi nyumbani,hii ingesaidia sana kupunguza mashaka huko mbeleni na ukatili ungepungua pia
 
Mwaka jana nimefiwa na kaka yngu na ameacha watoto 4 watatu wako primary ila kuna jambo kidgo limenipa hofu kama inawezekana ili nijiridhishe.

Kifupi hawa watoto wote kwa sasa hivi mimi ndio mlezi wao kwa kila kitu, ni sehemu ya familia yangu na mama yao ilibidi tumbakishe nyumbani kwajili ya kusaidia ulezi sababu jamaa bado ni wadogo.

Nisiende mbali sana nataka kufanya DNA kwahawa watoto kupitia mimi au babu yao je! Inawezekana?
Walee tu mkuu,kwkuwa baba yao ameshafariki usitengeneze misiba mingine,wewe timiza lako huko mbeleni likibumbulika sawa
 
Watoto wametoka kufiwa na baba yao, halafu tena familia inataka kuanza kuwahangaisha😭

Kama baba yao hakuona haja ya kuwapima hao watoto DNA, kwa nini wao watake kuwapima? Shida ni nini?

Kimsingi jamaa aongeze nyama ili apewe ushauri unaoeleweka, ila kwa content aliyotoa, bado hakuna sababu ya msingi ya kupima hao watoto DNA.
Alikuwa kimya kaka yake kulea dharau.je na hela yake awe kimya
 
Mwaka jana nimefiwa na kaka yngu na ameacha watoto 4 watatu wako primary ila kuna jambo kidgo limenipa hofu kama inawezekana ili nijiridhishe.

Kifupi hawa watoto wote kwa sasa hivi mimi ndio mlezi wao kwa kila kitu, ni sehemu ya familia yangu na mama yao ilibidi tumbakishe nyumbani kwajili ya kusaidia ulezi sababu jamaa bado ni wadogo.

Nisiende mbali sana nataka kufanya DNA kwahawa watoto kupitia mimi au babu yao je! Inawezekana?
yah!! inawezekana kwa sababu wanachukua vinasaba vya baba!!
 
sasa hapo itakuwa majanga, manake huyo anamdhania ni kaka yake si ukute wala sio kaka yake wa damu, mama alipitako naye, unaenda pale unapima DNA inasoma negative kumbe ni negative kwasababu wewe sio kaka wa damu wa huyo bro, althogh watoto ni wa bro kiukweli.
Ni kweli hayo mambo yalishawahi kuipata familia nzima tena mwenye kiherehere kabisa ndo alikutwa sio mtoto wa pale.
 
Atumie vinasaba vya mama yao.
Maza ni mmoja tu ila baba lolote linaweza kutokea.
Yawezekana kaka mtu na mdogo mtu wote au mmoja si tunda la wanayemwita baba yao.
Jamaa anamtaka Shem wake, cha msingi apewe mzigo kesi iishe
Ni kweli kabisa. Mama ndiye ajuaye Baba wa wanae, labda kama kamuiba mtoto hospitalini. Kinamama wanasiri kubwa na huiweka hiyo siri sirini.
 
Back
Top Bottom