The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Ndio maana jamaa anataka kuwapima watoto DNA huenda hata Baba yao bado yupo hai.Watoto wametoka kufiwa baba yao, halafu tena familia inataka kuanza kuwahangaishaðŸ˜
Kama baba yao hakuona haja ya kuwapima hao watoto DNA, kwa nini wao watake kuwapima? Shida ni nini?
Kimsingi jamaa aongeze nyama ili apewe ushauri unaoeleweka, ila kwa content aliyotoa, bado hakuna sababu ya msingi ya kupima hao watoto DNA.