Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mimi naunga mkono hoja yako.Ifike mahali watu wawe responsible kwa matendo yao na sio tu kutanguliza huruma tu,kwanza ingewekwa sheria kabisa,kabla ya mtoto kupewe Birth certificate ni lazima apimwe DNA ili huko mbeleni isije kutokea sintofahamu kama hii,kuna tofauti ya kumlea mtoto kwa kujitolea na kumlea mtoto huku ukijua kua ni damu yenu na kumbe sio damu yenu.
- Kwanza hapa hatuna uhakika kama marehemu aliwapima au hakuwapima hao watoto wakati wa uhai wake
- Sasa hivi mleta mada ndio responsible wa malezi ya hao watoto pamoja na Mama yao,so anao uamuzi wa kujiridhisha,isije ikawa anachukua majukumu ya mtu mwingine,
- Akisha jua kua hao watoto sio wa kwao,uamuzi utakua ni wake,aidha awapeleke wakalelewe na Baba yao au awalee kwa kujitolea tu huku akiwa na uhakika kua hao watoto sio damu yao
Tufika mahali tuache ujanja ujanja kwenye Mambo Muhimu ya Kifamilia.
Israeli kokote unakozaa mtoto lazima apimwe DND kwanza kama ni Myahudi.
Kama hauko serious kwenye swala la familia utakuwa serious kwenye Nini?
Wahindi na Warabu wamejizatiti hakuna kuzaa hovyo hovyo na mtu mweusi kwa sababu watu weusi hawajali mstakabali wa Maisha yao.
Kwa Muhindi utaoa au kuolewa tu na yule ambaye familia imeridhia uwe unampenda au humpendi lazima utii Wazazi.
Na kwakweli tunaona wanafanikiwa sana kwenye maswala ya kifamilia na Uchumi Pia.