Nataka kufanya DNA test ya watoto wa kaka kupitia mimi je inawezekana?

Nataka kufanya DNA test ya watoto wa kaka kupitia mimi je inawezekana?

Oyaa kama huyo kaka yako aliacha tumali achana navyo hata hiyo familia kama una mashaka nayo ipotezee kwani umelazimishwa kuishi na hao watoto wa marehemu?
 
Mwaka jana nimefiwa na kaka yngu na ameacha watoto 4 watatu wako primary ila kuna jambo kidgo limenipa hofu kama inawezekana ili nijiridhishe.

Kifupi hawa watoto wote kwa sasa hivi mimi ndio mlezi wao kwa kila kitu, ni sehemu ya familia yangu na mama yao ilibidi tumbakishe nyumbani kwajili ya kusaidia ulezi sababu jamaa bado ni wadogo.

Nisiende mbali sana nataka kufanya DNA kwahawa watoto kupitia mimi au babu yao je! Inawezekana?
Achana na hilo wazo. Mtoto ni mtoto, hata kama si damu ya kaka yako. Kama yeye aliwakubali, wewe huna haki ya kuwakataa.

Kwani vipimo kama hivyo vikishafanywa kwako kuthibitishwa kama wewe ni mtoto wa baba yako?

Usiwatendee wengine usilotaka kutendewa wewe.
 
Back
Top Bottom