Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Sikiliza mkuu; Ndugu yangu mwaka 2020 alighaili kuoa, tena ndoa ya kikristo na ulibaki muda mchache km wewe. Alipata lawama kiasi kwamba lawama zingekuwa mfuko angekuwa na matobo kuzidi tenga
Ndugu wa mwanamke wakamfanya adui kuanzia siku hiyo Hadi leo.Hawataki hata kumuona
Sababu ilikuwa hivi;Huyu binti ni mrembo kweli kweli kutoka ugogoni Dodoma.Ana kalio unaweza kuweka kikombe juu kisianguke,mguu ndy balaa,lkn sasa mzee baba alikuwa kila akiomba mzigo hataki kumpa anamwambia anavunja Sheria na yeye ni binti mlokole wasubiri harusi ipite mzigo atapata.jamaa akamjibu siwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia Mimi,nataka tupeane mambo kwani shida iko wapi na taratibu za mahali zote nimetimiza bado ndoa Tu
Binti Alipoona jamaa amekuwa mbabe na kumtishia kwamba hawezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia ikabidi siku moja aje kumpa (aliongopa anaenda kuimba kwenye mkesha akaja kwa bro kulala) .
Alichokutana nacho akaishia kuwalaaani wazazi wa Yule binti kuanzia Ile siku maana wamemfanyia kitu cha kijinga na ukatili sn mtoto wao..Wamemkeketa
Akaterminate maswala ya kuoa na ulibaki muda mchache tu harusi kufanyika
Ndugu wa mwanamke wakamfanya adui kuanzia siku hiyo Hadi leo.Hawataki hata kumuona
Sababu ilikuwa hivi;Huyu binti ni mrembo kweli kweli kutoka ugogoni Dodoma.Ana kalio unaweza kuweka kikombe juu kisianguke,mguu ndy balaa,lkn sasa mzee baba alikuwa kila akiomba mzigo hataki kumpa anamwambia anavunja Sheria na yeye ni binti mlokole wasubiri harusi ipite mzigo atapata.jamaa akamjibu siwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia Mimi,nataka tupeane mambo kwani shida iko wapi na taratibu za mahali zote nimetimiza bado ndoa Tu
Binti Alipoona jamaa amekuwa mbabe na kumtishia kwamba hawezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia ikabidi siku moja aje kumpa (aliongopa anaenda kuimba kwenye mkesha akaja kwa bro kulala) .
Alichokutana nacho akaishia kuwalaaani wazazi wa Yule binti kuanzia Ile siku maana wamemfanyia kitu cha kijinga na ukatili sn mtoto wao..Wamemkeketa
Akaterminate maswala ya kuoa na ulibaki muda mchache tu harusi kufanyika