Nataka kughairi kufunga ndoa, zimebaki week 3. Nifanye nini kutimiza azma yangu?

Nataka kughairi kufunga ndoa, zimebaki week 3. Nifanye nini kutimiza azma yangu?

Sikiliza mkuu; Ndugu yangu mwaka 2020 alighaili kuoa, tena ndoa ya kikristo na ulibaki muda mchache km wewe. Alipata lawama kiasi kwamba lawama zingekuwa mfuko angekuwa na matobo kuzidi tenga

Ndugu wa mwanamke wakamfanya adui kuanzia siku hiyo Hadi leo.Hawataki hata kumuona

Sababu ilikuwa hivi;Huyu binti ni mrembo kweli kweli kutoka ugogoni Dodoma.Ana kalio unaweza kuweka kikombe juu kisianguke,mguu ndy balaa,lkn sasa mzee baba alikuwa kila akiomba mzigo hataki kumpa anamwambia anavunja Sheria na yeye ni binti mlokole wasubiri harusi ipite mzigo atapata.jamaa akamjibu siwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia Mimi,nataka tupeane mambo kwani shida iko wapi na taratibu za mahali zote nimetimiza bado ndoa Tu

Binti Alipoona jamaa amekuwa mbabe na kumtishia kwamba hawezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia ikabidi siku moja aje kumpa (aliongopa anaenda kuimba kwenye mkesha akaja kwa bro kulala) .
Alichokutana nacho akaishia kuwalaaani wazazi wa Yule binti kuanzia Ile siku maana wamemfanyia kitu cha kijinga na ukatili sn mtoto wao..Wamemkeketa

Akaterminate maswala ya kuoa na ulibaki muda mchache tu harusi kufanyika
Aiseee angejuwa asingemuacha kukeketa kunazuia mwanamke asichepukechepuke
 
Mwenye kuoa yupo mkoa A, bibi harusi mtarajiwa anaishi mkoa B na wazazi wako mkoa C.

Kuna kitu hutaki kusema ukweli.

Mimi binafsi nakushauri uombe wakuvumilie kwa mwaka mmoja.

Kama haiwezekani oa tu shida yoyote utakayokutana nayo Mungu atakufanyia wepesi na itakuwa ni baraka kwa namna nyingine (blessing in disguise)
 
Ahirisha kwa miezi 6 au mwaka mmoja. Nina shuhuda moja nzito ila siwezi kuiandika kwa sasa.

Waombe wazazi wakupe mwaka mmoja zaidi.

Learn to trust your intuition

Lakini Mungu wetu ni Mungu wa miujiza hata kwenye hiyo shida bado atatoa na mlango wa kutokea.

But trust your intuition
Asante, ndoa imetangazwa tayar, bado kama safari moja tu ya mwisho mkuu, then send off kwa bi mdada, then marriage

Watakubali kweli?
 
Piga chini yasije kukuta!
20220801_164759.jpg
 
Mwenye kuoa yupo mkoa A, bibi harusi mtarajiwa anaishi mkoa B na wazazi wako mkoa C.

Kuna kitu hutaki kusema ukweli.

Mimi binafsi nakushauri uombe wakuvumilie kwa mwaka mmoja.

Kama haiwezekani oa tu shida yoyote utakayokutana nayo Mungu atakufanyia wepesi na itakuwa ni baraka kwa namna nyingine (blessing in disguise)
Historia fupi Ni kwamba nimewah fanya kazi huko aliko yeye kabla sijahamishiwa huku niliko, tulijuana naye huko mkoa B katika taasisi mbili tofauti! Wala Sina shda na mwenendo wake, mara kadhaa anakuja huku nliko hasa sku za weekend , but hali ilivyo ndyo hvyo, ngoja nijipe imani na tumaini kama nitashinda
 
Historia fupi Ni kwamba nimewah fanya kazi huko aliko yeye kabla sijahamishiwa huku niliko, tulijuana naye huko mkoa B katika taasisi mbili tofauti! Wala Sina shda na mwenendo wake, mara kadhaa anakuja huku nliko hasa sku za weekend , but hali ilivyo ndyo hvyo, ngoja nijipe imani na tumaini kama nitashinda
Kwenye maisha hakuna kitu kizuri au kibaya. Ni mtazamo wako na jamii ndiyo Inaleta vitu vibaya.

Imani yangu ni kwamba hata hilo unalodhani linaweza kuwa baya bado Mungu atatoa na mlango wa kutokea.

Nenda google tafuta neno blessing in disguise usome mpaka ulielewe na hutapata shida yoyote hapa duniani
 
Wakuu, kama heading inavyosomeka, Nina tarajia kufunga ndoa week tatu zijazo ( tar sitaweka ili kuepusha mambo mengi) lakini ni mwezi huu wa nane.

Kimsingi sidaiwi, taratibu zote nimefuata, mahali nimelipa na kilichobaki Ni siku ya tukio tu kuidhinisha Jambo!

Lakini kwa sasa najisikia mzito sana kwenye hili swala, Yan kifup sielewielewi, nahitaji niterminate mchakato huu, ila nikifikiria maandalizi ya sherehe husika kwa maana ya nyumbani, kanisan na jamii yote kwa ujumla najiuliza nijinasuaje ili nitimize adhma yangu!

Naombeni ushauri wenu katika suala hili!
Hapana endelea hizo hali huwatokea wengi sana lakini ukivumilia zinapita
 
Tatizo la wanaume wengi wanapotaka kuoa wanafananisha jambo hilo sawa na kuanzisha biashara au kufungua kampuni au kufungua kiwanda.

Kwa maana kwamba mwanamke huyo ni meneja msaidizi hivyo anatakiwa awe na akili sana!

Maisha hayatakiwi kuwa hivyo.

Mke ni msaidizi wako hasa wa kitandani na kulea watoto. Mambo mengine yote ni juu yako.
 
Oa wewe, kwenye hayo maamuzi kila mtu huwa anapata cold feet...

Hakuna ambae aliyeoa bila kujiuliza “nafanya maamuzi sahihi kweli?” bila kuwa na wasi wasi ungekuwa mpuuzi hapo inaonesha wewe ni smart & upo careful

PS Ndoa ikiwa ndoano wana JF hawahusiki ujue 😅
 
Back
Top Bottom