Nataka kughairi kufunga ndoa, zimebaki week 3. Nifanye nini kutimiza azma yangu?

Nataka kughairi kufunga ndoa, zimebaki week 3. Nifanye nini kutimiza azma yangu?

Vua nguo tu tembea na boksa jifanye umechanagnyikiwa alfu utoweke kaishi sehemu waendelee kukugonga huko nyuma kama ulivyozoea maana hauna tena uwezo wa kukaa na mwanamke
 
Kwanza sikai home, nipo mkoa X kikazi, home ni mkoa Z, na mwenza ni mkoa Y yupo kikazi!

Kwa hiyo mambo yanayoendelea kule nayadaka kwa simu tu, na mahitaji yote natuma note! Ila Sasa naishiwa nguvu , na nakosa raha na Jambo langu
Usije ukafosi,ndoa inahitaji maamuzi ya ndani ya moyo wako.Ikija kufika yakakufika yakukufika,ukisema ushirikishe watu,watakwambia uliamua mwenyewe,hivyo vumilia.
 
Achana nalo hilo jambo, huwezi jambo ambalo moyo unasita, achana nalo! Kuoa sio lazima. Kama umesha toa mahari, mchukue bnti ishi naye, wala usifunge ndoa. Baada ya miaka kadhaa, nenda kanisani na mkeo mkabariki ndoa yenu, mkiwa wawili tu simple life.
 
Vua nguo tu tembea na boksa jifanye umechanagnyikiwa alfu utoweke kaishi sehemu waendelee kukugonga huko nyuma kama ulivyozoea maana hauna tena uwezo wa kukaa na mwanamke
Mbona unamtukana sasa?
Haipendezi kumtukana mtu tena ambaye kwe.nye comments zote,hajaonyesha kukuvunjia heshima.Heshimu wenzako tafadhari.
 
Kama Kuna tatizo abort mission usije kuja kuua mke au kujinyonga bure
 
Mbona unamtukana sasa?
Haipendezi kumtukana mtu tena ambaye kwe.nye comments zote,hajaonyesha kukuvunjia heshima.Heshimu wenzako tafadhari.
Kwani mimi nimemtukana Mkuu. ni ushauri wangu tu kwake kwamba akendelee kupumuliwa kisogoni aachane na ndoa
 
Tambua kuwa amani ya moyo ndiyo jibu la uhakika ktk kufanya maamuzi ya kutaka kuoa . Usithubutu kuoa kama huna amani ya moyo ndani yako . Lakini pia Uchumba uliovunjika ni bora zaidi kuliko ndoa yenye mateso iliyokosa furaha , amani na upendo . Kuhusu mahali ipotezee tu ( Nami ilikuwa hivyo hivyo ) . Mwanadamu usimwonee aibu katika kusema ukweli maana mateso utayapata wewe . Enough
 
Oa wewe, kwenye hayo maamuzi kila mtu huwa anapata cold feet...

Hakuna ambae aliyeoa bila kujiuliza “nafanya maamuzi sahihi kweli?” bila kuwa na wasi wasi ungekuwa mpuuzi hapo inaonesha wewe ni smart & upo careful

PS Ndoa ikiwa ndoano wana JF hawahusiki ujue [emoji28]
Shukran kwa ushaur wako mkuu!
 
Tafuta msaada wa kiroho haraka, isijekua mmoja wenu ana spiritual spouse ndio analeta kauzibe. Au ni Mungu anataka kukuokoa, tafadhali mshirikishe mchungaji wako mapema ila kwa Mimi mwana jf mwenzio nakuombea mapenzi ya Mungu yatimie. Kama ni mapenzi ya Mungu kumuoa basi umuoe ila kama sio mapenzi ya Mungu basi moyo ukatae had dakika ya mwisho usimuoe.
Asante mkuu, ntatoa mrejesho Nini maamuzi yangu!
 
Tambua kuwa amani ya moyo ndiyo jibu la uhakika ktk kufanya maamuzi ya kutaka kuoa . Usithubutu kuoa kama huna amani ya moyo ndani yako . Lakini pia Uchumba uliovunjika ni bora zaidi kuliko ndoa yenye mateso iliyokosa furaha , amani na upendo . Kuhusu mahali ipotezee tu ( Nami ilikuwa hivyo hivyo ) . Mwanadamu usimwonee aibu katika kusema ukweli maana mateso utayapata wewe . Enough
Asante mkuu, naupokea kwa mikono yote ushaur wako
 
Achana nalo hilo jambo, huwezi jambo ambalo moyo unasita, achana nalo! Kuoa sio lazima. Kama umesha toa mahari, mchukue bnti ishi naye, wala usifunge ndoa. Baada ya miaka kadhaa, nenda kanisani na mkeo mkabariki ndoa yenu, mkiwa wawili tu simple life.
Shukran Sana mkuu kwa ushaur wako, naufanyia kazi
 
Back
Top Bottom