Nataka kuingia kwenye siasa, nafikiria CCM ndio njia pekee rahisi ili kufika mbali

Nataka kuingia kwenye siasa, nafikiria CCM ndio njia pekee rahisi ili kufika mbali

Habari wakuu

Ikiwa kama njia yangu ya kujipenyeza, hatimaye niwe kiongozi mkubwa kama ilivyo ndoto yangu, imenipasa niingie kwenye siasa, sina akili wala moyo wa kichawa,
mzee ni chadema mkubwa, hata mimi ningefata njia zake ila naona hio njia ni ngumu.

Kabla sijajisajili kwa uvccm ili nianze dominance huko nipeni muongozo.
natanguliza shukrani
Una pesa?
 
Habari wakuu

Ikiwa kama njia yangu ya kujipenyeza, hatimaye niwe kiongozi mkubwa kama ilivyo ndoto yangu, imenipasa niingie kwenye siasa, sina akili wala moyo wa kichawa,
mzee ni chadema mkubwa, hata mimi ningefata njia zake ila naona hio njia ni ngumu.

Kabla sijajisajili kwa uvccm ili nianze dominance huko nipeni muongozo.
natanguliza shukrani
CCM ndio njia Raisi na isiyo na vikwazo kufikia hatima kubwa ya kisiasa ,bidii uvumilivu ,utu ,heshima vitakifufikisha mbali,tumefika mbali kisiasa bila kuwa na connection yoyote ,jitoe ,tumika unakwenda mbali.
 
Kuna muda nahisi hakuna kitu kinatokea bahati mbaya! Tabia yako mbaya ya leo ndio itakufikisha kesho. Kuwa wewe zingatia daudi bashite, buldozer kutoka chato, Le gwajiboy.... Kina polepole, masanja, mpoki, ....mc pilipili na chongolo...jafo..

Maisha ni fumbo kuwa na akili za mbinguni lakini mawazo ya duniani. Jitahidi kueneza habari za mbigu ya saba. Fanya ambacho hakuna anaweza kufikiria unaweza kufanya, jitoe ufahamu baki na akili. Tukutane bungeni 2035[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
 
Habari wakuu

Ikiwa kama njia yangu ya kujipenyeza, hatimaye niwe kiongozi mkubwa kama ilivyo ndoto yangu, imenipasa niingie kwenye siasa, sina akili wala moyo wa kichawa,
mzee ni chadema mkubwa, hata mimi ningefata njia zake ila naona hio njia ni ngumu.

Kabla sijajisajili kwa uvccm ili nianze dominance huko nipeni muongozo.
natanguliza shukrani
Kwa kuweka hii nia yako hadharani tayari umeshafanya kosa la kiufundi. Baba yako kuwa CHADEMA mkubwa ni kasoro nyingine wewe kuweza kuaminika ndani ya CCM. Mimi nakushauri jipe hata miaka mitatu kujijenga kwanza kwenye jamii hasa hao wanaCCM hadi ifike sehemu wakuone wewe ni miongoni mwao. Ukisema leo ujiingize kichwa kichwa na kuanza kujifanya una machungu kuliko uliowakuta utaishia kuwa kama Suphian aliyehamia CCM kutoka ACT. Kuhusu UVCCM huwezi penya hata kama una hela. Huko nafasi zimekabwa na watoto wa wazito watupu. Wewe unahitaji muda
 
Unaweza kuwa na vigezo vyote muhimu (elimu, mchapakazi, ushawishi kwa jamii na mwenye maono ), ila kama huna unafiki, uchawa na kunyenyekea na kujipendekeza kwa viongozi kamwe huwezi timiza malengo yako ndani ya CCM.
 
Unaweza kuwa na vigezo vyote muhimu (elimu, mchapakazi, ushawishi kwa jamii na mwenye maono ), ila kama huna unafiki, uchawa na kunyenyekea na kujipendekeza kwa viongozi kamwe huwezi timiza malengo yako ndani ya CCM.
Hata CHADEMA pia hali ni hiyohiyo. Siasa za kusini mwa jangwa la sahara ndo zilivyo.
 
Habari wakuu

Ikiwa kama njia yangu ya kujipenyeza, hatimaye niwe kiongozi mkubwa kama ilivyo ndoto yangu, imenipasa niingie kwenye siasa, sina akili wala moyo wa kichawa,
mzee ni chadema mkubwa, hata mimi ningefata njia zake ila naona hio njia ni ngumu.

Kabla sijajisajili kwa uvccm ili nianze dominance huko nipeni muongozo.
natanguliza shukrani
Uko tayari kuroga, kuua na kuwa mnafiki?
 
Habari wakuu

Ikiwa kama njia yangu ya kujipenyeza, hatimaye niwe kiongozi mkubwa kama ilivyo ndoto yangu, imenipasa niingie kwenye siasa, sina akili wala moyo wa kichawa,
mzee ni chadema mkubwa, hata mimi ningefata njia zake ila naona hio njia ni ngumu.

Kabla sijajisajili kwa uvccm ili nianze dominance huko nipeni muongozo.
natanguliza shukrani
Utakuwa na roho ngumu mkuu, upo tayari kufuga majini ama mandondocha, upo tayari kuua nduguzo na kuwa mnafiki?
 
Habari wakuu

Ikiwa kama njia yangu ya kujipenyeza, hatimaye niwe kiongozi mkubwa kama ilivyo ndoto yangu, imenipasa niingie kwenye siasa, sina akili wala moyo wa kichawa,
mzee ni chadema mkubwa, hata mimi ningefata njia zake ila naona hio njia ni ngumu.

Kabla sijajisajili kwa uvccm ili nianze dominance huko nipeni muongozo.
natanguliza shukrani
Pole, unawaza kumuua nani kwenye familia yako? Siasa ni ushetani mkubwa sana na walio ndani yake wote ni mashetani tu.
 
Back
Top Bottom