ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Una pesa?Habari wakuu
Ikiwa kama njia yangu ya kujipenyeza, hatimaye niwe kiongozi mkubwa kama ilivyo ndoto yangu, imenipasa niingie kwenye siasa, sina akili wala moyo wa kichawa,
mzee ni chadema mkubwa, hata mimi ningefata njia zake ila naona hio njia ni ngumu.
Kabla sijajisajili kwa uvccm ili nianze dominance huko nipeni muongozo.
natanguliza shukrani
CCM ndio njia Raisi na isiyo na vikwazo kufikia hatima kubwa ya kisiasa ,bidii uvumilivu ,utu ,heshima vitakifufikisha mbali,tumefika mbali kisiasa bila kuwa na connection yoyote ,jitoe ,tumika unakwenda mbali.Habari wakuu
Ikiwa kama njia yangu ya kujipenyeza, hatimaye niwe kiongozi mkubwa kama ilivyo ndoto yangu, imenipasa niingie kwenye siasa, sina akili wala moyo wa kichawa,
mzee ni chadema mkubwa, hata mimi ningefata njia zake ila naona hio njia ni ngumu.
Kabla sijajisajili kwa uvccm ili nianze dominance huko nipeni muongozo.
natanguliza shukrani
Nikutumie namba yake kama unahitajiWewe nenda ukamuone, utanishukuru baadae
Unitumie Mimi Tena?Ni
Nikutumie namba yake kama unahitaji
Kwa kuweka hii nia yako hadharani tayari umeshafanya kosa la kiufundi. Baba yako kuwa CHADEMA mkubwa ni kasoro nyingine wewe kuweza kuaminika ndani ya CCM. Mimi nakushauri jipe hata miaka mitatu kujijenga kwanza kwenye jamii hasa hao wanaCCM hadi ifike sehemu wakuone wewe ni miongoni mwao. Ukisema leo ujiingize kichwa kichwa na kuanza kujifanya una machungu kuliko uliowakuta utaishia kuwa kama Suphian aliyehamia CCM kutoka ACT. Kuhusu UVCCM huwezi penya hata kama una hela. Huko nafasi zimekabwa na watoto wa wazito watupu. Wewe unahitaji mudaHabari wakuu
Ikiwa kama njia yangu ya kujipenyeza, hatimaye niwe kiongozi mkubwa kama ilivyo ndoto yangu, imenipasa niingie kwenye siasa, sina akili wala moyo wa kichawa,
mzee ni chadema mkubwa, hata mimi ningefata njia zake ila naona hio njia ni ngumu.
Kabla sijajisajili kwa uvccm ili nianze dominance huko nipeni muongozo.
natanguliza shukrani
Hata CHADEMA pia hali ni hiyohiyo. Siasa za kusini mwa jangwa la sahara ndo zilivyo.Unaweza kuwa na vigezo vyote muhimu (elimu, mchapakazi, ushawishi kwa jamii na mwenye maono ), ila kama huna unafiki, uchawa na kunyenyekea na kujipendekeza kwa viongozi kamwe huwezi timiza malengo yako ndani ya CCM.
Uko tayari kuroga, kuua na kuwa mnafiki?Habari wakuu
Ikiwa kama njia yangu ya kujipenyeza, hatimaye niwe kiongozi mkubwa kama ilivyo ndoto yangu, imenipasa niingie kwenye siasa, sina akili wala moyo wa kichawa,
mzee ni chadema mkubwa, hata mimi ningefata njia zake ila naona hio njia ni ngumu.
Kabla sijajisajili kwa uvccm ili nianze dominance huko nipeni muongozo.
natanguliza shukrani
Utakuwa na roho ngumu mkuu, upo tayari kufuga majini ama mandondocha, upo tayari kuua nduguzo na kuwa mnafiki?Habari wakuu
Ikiwa kama njia yangu ya kujipenyeza, hatimaye niwe kiongozi mkubwa kama ilivyo ndoto yangu, imenipasa niingie kwenye siasa, sina akili wala moyo wa kichawa,
mzee ni chadema mkubwa, hata mimi ningefata njia zake ila naona hio njia ni ngumu.
Kabla sijajisajili kwa uvccm ili nianze dominance huko nipeni muongozo.
natanguliza shukrani
Pole, unawaza kumuua nani kwenye familia yako? Siasa ni ushetani mkubwa sana na walio ndani yake wote ni mashetani tu.Habari wakuu
Ikiwa kama njia yangu ya kujipenyeza, hatimaye niwe kiongozi mkubwa kama ilivyo ndoto yangu, imenipasa niingie kwenye siasa, sina akili wala moyo wa kichawa,
mzee ni chadema mkubwa, hata mimi ningefata njia zake ila naona hio njia ni ngumu.
Kabla sijajisajili kwa uvccm ili nianze dominance huko nipeni muongozo.
natanguliza shukrani