Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ni muhimu kuishi kwa malengo, unaweza kukaa mjini miaka kadhaa, baada ya hapo unaamia kule ambako mahitaji yako ya msingi yanapatikana kwa unafuu.Yes mkuu na mwisho wa siku kuna vitu navimiss sana vitu vya asili
Sema dunia inabadilika sana watoto wetu Ata makomamanga hawayajuiNi muhimu kuishi kwa malengo, unaweza kukaa mjini miaka kadhaa, baada ya hapo unaamia kule ambako mahitaji yako ya msingi yanapatikana kwa unafuu.
Huyo msanii muondoe kwenye hiyo wishlist yako ,huyo ni TAPELi tu.Nataka kua kama chief godlove
Mwanzoni kila kitu ni rahisi sana ila baada ya muda utajuta kuingia hukoNataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
njo tule kiboga chap unakua kama chiefgodloveNataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Unajua njaa Ni Kama nyege. Nyege unaweza kukufumba macho Hadi ukatembea na mwanamke asiye na viwango halafu ukampa mimba akawa mkeo. Au unaweza kukufumba akili ukatembea na Malaya bila condomme. Jifanye unanyege Kali, kaama ukame wa mwezi halafu unatafuta demu taratibu.Dah ila wanaume sisi wa kitanzania mbona hua tunazibiana rizki hivi..mwez mzima nakaa kufikiria nini tena boss na wakati nimeshaamua.
Dah leo nashukuru kaka mkubwa mshana amekoment kwenye uzi wangu.Mwanzoni kila kitu ni rahisi sana ila baada ya muda utajuta kuingia huko
Stori za abunuasi hizi mkuu, wemgi wamesikiliza angalia maisha yao ndio ile unapiga hatua moja kwa miaka 20...wako wengi tu huko masokoni mtu ana miaka 40 anafanya biashara tu maish yake yako pale paleHakuna mashetani wagawa hela jamani tufanye kazi tuwe na maarifa ya kutafuta pesa,kutunza pesa na kuwekeza fedha utajikuta upo juu
Sio kabisa mkuu wangu.safi sana umaskini sio poa.
Nalog off
[emoji706][emoji706][emoji706]njo tule kiboga chap unakua kama chiefgodlove
Eh! Mambo ya nyege tena.Unajua njaa Ni Kama nyege. Nyege unaweza kukufumba macho Hadi ukatembea na mwanamke asiye na viwango halafu ukampa mimba akawa mkeo. Au unaweza kukufumba akili ukatembea na Malaya bila condomme. Jifanye unanyege Kali, kaama ukame wa mwezi halafu unatafuta demu taratibu.
Hata akisoma Haina maana kuwa kuwaita ndio anawaita kama anapiga huduma kwa wateja..inahitaji gharama na maandalizi meengi..pia ni riskKuna kitabu kinaitwa Ars Goetia, kina orodha ya mapepo 72 ambayo mfalme solomon aliyafunga
Kinaelezea jinsi ya kuwaita, wapo ambao wanaleta utajiri
Kakisome.
Uje ulete mrejesho kama utapata hata mia😆
Pole ndio unakwenda kuangamia rasmi.Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Uliwezaje kutoka Mchawi mstaafu? Dogo amekata tamaa tu anawayawaya.Mwanzoni kila kitu ni rahisi sana ila baada ya muda utajuta kuingia huko
Ukiwa fukara ndio.unaangamia boss.Pole ndio unakwenda kuangamia rasmi.
Hakuna mchawi hapo kutafuta umaaarufu tu.Uliwezaje kutoka Mchawi mstaafu? Dogo amekata tamaa tu anawayawaya.
Mkuu usimsujudie shetani ili akupe Utajiri nitafute mimi kwa wakati wako ili nikupe Jini aweze kukutajirisha utafanya biashara ndogo lakini matokeo yake utakuw atajiri mkubwa haya nimekupa offer nitafute nikupe hiyo njia ya kuweza kuwa Tajiri kazi kwako.Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]