Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

Dah
 

Attachments

  • 20240812_094210.jpg
    17.3 KB · Views: 2
Tafuta kwanza amani.Hujui kwamba matajiri hawalali usingizi kama masikini?
 
Dogo usichanganyikiwe sana utakuja kuwekwa na wahuni kwaajili ya tamaa za vitu vidogo. Fanya Kazi weka akiba nunua asset zinazo appreciate baada ya muda utakua tajiri Ila kwa hii style yako utakuja kua mteja wa kudumu wa pampers
 
Dogo usichanganyikiwe sana utakuja kuwekwa na wahuni kwaajili ya tamaa za vitu vidogo. Fanya Kazi weka akiba nunua asset zinazo appreciate baada ya muda utakua tajiri Ila kwa hii style yako utakuja Kia mteja wa kudumu wa pampers
Kauli yang ni ile ile, ukiona katika mada za kujadili kitu cha kwanza kinachokuja akilini mwako ni kufiranah basi kama haufanyi hio michezo basi wewe ni mdau. Aksante.
 
Hii Imani hatari sana,hi ndo inapelekea mauaji ya albino,kichuna ngozi na kunyofoa viungo vya watu.

Hakuna utajiri wa kirahisi kiasi hicho,utaishia kutoa pesa kwa waganga wa kienyeji na kipokea masharti ya ajabu ajabu ikiwepo mauaji na kufanikiwa usifanikiwe

Pesa inafuata watu wenye ujuzi au bidhaa zinalizo hitajika sana na watu,jitahidi uwe na bidhaa au ujuzi ambao watu watavutiwa nao na utaona pesa zinakifuata

Pesa zinafuata wenye vitu au ujuzi wa thamani
 
motivesheni spika.
 
Lipi
 
Ndio mkuu. Haya makalio.nimekaa nayo.miaka na miaka hayajanisaidia lolote zaid ya kuniletea umaskin tu mkuu. Kama ntayatumia kupata utajiri kwanini yasitumike..sio makalio tu, hata kujitoa maisha niko tayari. Utajir wa punje .
🤣🤣🤣🤣 Qmmk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…