mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Ni mjinga, anajifanya hajui hata kwa hao wataalam ni riskHata akisoma Haina maana kuwa kuwaita ndio anawaita kama anapiga huduma kwa wateja..inahitaji gharama na maandalizi meengi..pia ni risk
Mjinga mama ako aliekuzaa.Ni mjinga, anajifanya hajui hata kwa hao wataalam ni risk
Wataalam ni madalali wa hao mapepo
DahNataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Tafuta kwanza amani.Hujui kwamba matajiri hawalali usingizi kama masikini?Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mafukara ndio tunalala ovyo na kuishi kwa matumaini.Tafuta kwanza amani.Hujui kwamba matajiri hawalali usingizi kama masikini?
Kauli yang ni ile ile, ukiona katika mada za kujadili kitu cha kwanza kinachokuja akilini mwako ni kufiranah basi kama haufanyi hio michezo basi wewe ni mdau. Aksante.Dogo usichanganyikiwe sana utakuja kuwekwa na wahuni kwaajili ya tamaa za vitu vidogo. Fanya Kazi weka akiba nunua asset zinazo appreciate baada ya muda utakua tajiri Ila kwa hii style yako utakuja Kia mteja wa kudumu wa pampers
motivesheni spika.Hii Imani hatari sana,hi ndo inapelekea mauaji ya albino,kichuna ngozi na kunyofoa viungo vya watu.
Hakuna utajiri wa kirahisi kiasi hicho,utaishia kutoa pesa kwa waganga wa kienyeji na kipokea masharti ya ajabu ajabu ikiwepo mauaji na kufanikiwa usifanikiwe
Pesa inafuata watu wenye ujuzi au bidhaa zinalizo hitajika sana na watu,jitahidi uwe na bidhaa au ujuzi ambao watu watavutiwa nao na utaona pesa zinakifuata
Pesa zinafuata wenye vitu au ujuzi wa thamani
AiseeeeeMkuu usimsujudie shetani ili akupe Utajiri nitafute mimi kwa wakati wako ili nikupe Jini aweze kukutajirisha utafanya biashara ndogo lakini matokeo yake utakuw atajiri mkubwa haya nimekupa offer nitafute nikupe hiyo njia ya kuweza kuwa Tajiri kazi kwako.
Kwamba mshana anatafuta umaarufu kwako wewe maskini?😀😀Hakuna mchawi hapo kutafuta umaaarufu tu.
Hiyo nimeifanyia kazi na imenitoamotivesheni spika.
LipiYupo mkafiri mkoa x ukitimiza mashart anakupa mkopo wa milioni 40 Kama mtaji au zaidi kutokana na biashara unayotaka kuanzisha. Wengi huchukua 50 ili wanunua mafuso au makoster na mabasi waanze kuvuna pesa mapema.
Ila mzee, sahau nyumba ndogo, sahau mchepuko au Malaya, wewe Ni mkeo tu halafu mtunze atunzike asiugue Wala kufa mapema.
Sharti la pili ndio gumu na ndio linalowafanya wengi kushindwa.
Chukua huu ushauri wa Mtaalam wa haya mamboMwanzoni kila kitu ni rahisi sana ila baada ya muda utajuta kuingia huko
Kwani hautokufa !?Nenda wakakutoe kafara huko, unapenda shortcut zitaku cut short
🤣🤣🤣🤣Andika jina lake msainishe awe wa kwanza kwenda kwa p Diddy siku akitoka jela View attachment 3158971
🤣🤣🤣🤣 QmmkNdio mkuu. Haya makalio.nimekaa nayo.miaka na miaka hayajanisaidia lolote zaid ya kuniletea umaskin tu mkuu. Kama ntayatumia kupata utajiri kwanini yasitumike..sio makalio tu, hata kujitoa maisha niko tayari. Utajir wa punje .