Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

Na utakapopewa masharti magumu ambayo huwezi timiza uje utuambie hapa. Kuna jamaa yangu alikua kama wewe kapewa koneksheni ya mganga huko shinyanga, kaenda kapewa masharti anaanza kumwomba mganga ambadilishie mengine 😀😃. Ambacho hukijui katika ulimwengu wa roho, spirits operate with disciplined and consistent people. Sasa kama huna hata discipline ya kufanya kazi ya masharti utaiweza?
 
Ndio ntaweza mkuu. Naomba nisaidie konekshen. Kama ni yakweli na kama kweli nitapata utajiri niko tayari.
 
😃😃 Bahati mbaya wanaotaka utajiri ni wazinzi by default.
 
Muulize kanumba na maiko jakson.......kwamba kwanini mlikufa mapema mkaacha magari na nyumba na wake na watoto...kanumba alikufa na miaka 27..maiko jackson about 40.
mali za mapepo na mashetani zipo kimabadilishano na maisha yako.

Utaacha mke wako mjane na watoto fatherless
 
Bora hivo. Kuliko kufa maskini.
 
Hapana. Mtaalam nlielekezwa nimekuta alifariki.
 
Muone chief godlove
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…