Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

Uko tayari kulala na mama yako au kumuua tukupe mchongo?
 
Hizo mbanga sjui mali za mjerumani sjui mali za mapangoni ni upumbav na kupotezeana mda tu.
 
Ni vitu vya kufikirika mzee hakuna kiumbe kinaitwa shetani , we pambana tu kitakachokuja ndo bahati Yako , usiwaze sana utajiri, pambana pata pesa kula vizuri kunywa maji mengi relax , watu hatulingani kama vidole vya mkono,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…