Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

Hivi ni nani aliwadanganya Mungu hawezi kukupatia huo utajiri?Mwenyezi Mungu anaweza kukupatia utajiri tatizo mna dhamiri mbaya,na ndio maana anawanyima.Akikunyima unaenda upande wa pili na wa upande wa pili atakupa kwa sababu anajua utakavyoitumia na mwisho roho yako itakuwa mali yake.Una Mungu ambae ameiumba mbingu na dunia piga magoti sali naye atakupatia.Mwenyezi Mungu anasema huwaruzuku walio wake hata walalapo
 
Sikuelewi. Na wewe umepagawa na maisha ya kimaskini.?
Ningepagawa ningekuja na post za namna hii! Anayemtafuta shetani na anayeshauri uamke nani kapagawa? Angalia usijeokota makopo machafu baadaye! Nani kakufundisha kuna shetani na anagawa utajiri bure kwa mafailure? Hata kama yupo hope atakuwa anawapa watu smart sio kama wewe brother atapata nini sasa akikupa? Useless
 
Mondi
 
Kila lenye heri, Taifa tushapoteza mtu
 
Huyo maiko jackson wa buza aliyekufa akiwa about 40 years.
 
Ulifanikiwa usinisahau pia maana na mm nimechoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…