Ningepagawa ningekuja na post za namna hii! Anayemtafuta shetani na anayeshauri uamke nani kapagawa? Angalia usijeokota makopo machafu baadaye! Nani kakufundisha kuna shetani na anagawa utajiri bure kwa mafailure? Hata kama yupo hope atakuwa anawapa watu smart sio kama wewe brother atapata nini sasa akikupa? UselessSikuelewi. Na wewe umepagawa na maisha ya kimaskini.?
Sifanyi upumbav huo. Wote walioenda kwenye ishu hizo za kufukua mali sjui machimboni ama mapangoni wamekua machizi.Babu sio mali za Mjerumani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza demu wa Kijerumani Mimi nishamiliki Mwanangu. Hiyo natural
Sina muda wa kufurahisha genge.Hakuna mlevi ajisisifiaye.
Labda unafurahisha gege
Hata jero hawez kukupa.Pole mkuu Bora ata ungenibless mimi ten nipate kula
Sawa.Mkuu angaliaa wasitoe Marindaa lakini
MondiKwa binadamu, wengi huwa tunatamani kile ambacho hatuna, ukilazimisha kukipata kwa njia zisizoeleweka huwa inakuwa ni mateso.
Wengi tukiwatazama usoni tunahisi wana furaha, ila katika mioyo yao wanaumia na wanateseka.
Ni bora kuwa huru kwa kula ugali na kachumbari
Ni tajiri yupi, akiwa mbali na macho ya watu huwa ana furaha?
Kila lenye heri, Taifa tushapoteza mtuNataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mtaalamu Kafariki,,Mgonjwa Umebaki###Tafakari###Hapana. Mtaalam nlielekezwa nimekuta alifariki.
Utakuwa mbahili kwa kitu ambacho huna?mbinu za utajiri ni ubahili.
Taifa lina shida gani na mim. Limenisaidia nini mimi.Kila lenye heri, Taifa tushapoteza mtu
Kwani yeye roboti asife...maskin bwana.Mtaalamu Kafariki,,Mgonjwa Umebaki###Tafakari###
Karibu mkuu. Simamia kile unachoamin achana na porojoEven me
oya ukipata connection niunge nami nshachoka na maisha baada ya dhiki farajaKaribu mkuu. Simamia kile unachoamin achana na porojo
Huyo maiko jackson wa buza aliyekufa akiwa about 40 years.Muulize kanumba na maiko jakson.......kwamba kwanini mlikufa mapema mkaacha magari na nyumba na wake na watoto...kanumba alikufa na miaka 27..maiko jackson about 40.
mali za mapepo na mashetani zipo kimabadilishano na maisha yako.
Utaacha mke wako mjane na watoto fatherless
Ulifanikiwa usinisahau pia maana na mm nimechoka.Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
ukiyaita ujue na jinsi ya kuzungumza nayoIsijekuwa kama kile kisa cha jamaa aliyaita nusura yarudi nae.