Nataka kujilipua na Volvo XC 90. Ushauri wenu wadau

Volvo ni gari nzuri kwa usalama wako, mojawapo ya gari zenye rekodi nzuri kwenye ajari. Ndio wagunduzi wa seat belt na hawakuweka patent kila kampuni itumie.
Ukiachana na safety kwingineko sio nzuri sana na interior mara nyingi zinakuwa za kawaida
 
Volvo ni gari nzuri kwa usalama wako, mojawapo ya gari zenye rekodi nzuri kwenye ajari. Ndio wagunduzi wa seat belt na hawakuweka patent kila kampuni itumie.
Ukiachana na safety kwingineko sio nzuri sana na interior mara nyingi zinakuwa za kawaida

I think ziko reliable zaidi ya gari nyingi za ulaya, ila labda si comfortable na luxury sana kama nyingine. Zina balance nzuri tho ya hivyo vitu vingine (model za 2009 - 2015)
 
Hamna gari hapo utalia kaka magari ya kimarekani hayo speak zake utajuuutaa
 
Kwingineko kupi huko? Performance? Reliability? Prestige? Sustainability? Emissions?
Reliability sio kubwa sana na repairs & spare parts zina bei juu kidogo. Ratings zake ukiachana na safety haina the best performance. Ni brand nzuri lakini
 
Reliability sio kubwa sana na repairs & spare parts zina bei juu kidogo. Ratings zake ukiachana na safety haina the best performance. Ni brand nzuri lakini
Ukilinganisha gari zipi? Maana kama ni likes za Mercs, BMW na Audi, Volvo is way more reliable and maintenance cheaper. Performance, yes imezidiwa na hao.
 
Hamna gari hapo utalia kaka magari ya kimarekani hayo speak zake utajuuutaa

Unafahamu nini kuhusu hii gari, mbona ni kama hujui chochote kuihusu??! Volvo ni msweden mkuu siyo mmarekani. Na ni reliable kuhusu unavyofahamu
 
Bro. Naomba fungua PM au start convo nikureply. Nitashukuru sana.
 
Yupo sahihi ndiyo na wala sipindi. Na ndivyo wanavyofanya watu wengi wenye uwezo mdogo. Na hiyo hasa ndiyo point yangu. Kujaribu kufanya hili kundi kubadilika kifikra. Kununua vitu kulingana na uwezo wao na siyo kuonyesha ufahari.
Kutaka kujua kitu sio ufahari wala uwezo mdogo pana watu vitu wanavijua kweli mimi napoulizia hicho kitu inanirahisishia kuelewa hapo sioni tatizo na gari sio Big ishu saana kama tunavyoaminishwa toeni madini ili watu waendeshe au waishi maisha rahisi kupitia kwa wanaojua...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…