Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,130
- 3,599
Mkuu mimi kidogo nilipita hizo njia, zamani kulikuwa na mafundisho ya wito kwa wanafunzi wa shule ya msingi (wakatoliki). Na yalitolewa vigangoni (hapa utakuwa unaelewa kama ni mkatoliki). Darasa la saba kuna mtihani wa kwenda seminary. Ulikuwa ukifaulu vizuri wanakupeleka seminary (kuna za jimbo na mashirika) changamoto ilikuwa ada, ada zao zilikuwa juu sana hivyo wengine tukashindwa.
Lakini kwa waliobahatika kuendelea, unaanza pre-form one mwaka mzima. Then unaendelea na Secondary baada ya pre. Wakati wote inabidi ufaulu mitihani kwa passmark zao. Ukizingua wanarudisha home, na wako serious katika hilo. Tabia yako pia iwe njema, ndo maana wanaanza na wewe ukiwa shule ya msingi.
Baada ya secondary unaenda advance, shule zao tena. Huko sasa ndio wengi huwa wanafanya maamuzi ya kuendelea na upadre au kuishia mitini. Wengi wao hutokomea. Kama utafulu fresh advance na somo lao la dini unaenda Chuo, huko me sijui. Lakini kuna mambo mengi mengi. Kuna Theology, philosophy, baadae unakuja kuwa shemasi then flater au flater then shemasi (sikumbuki), na baadae utapewa daraja la upadre. Sio mchezo ndugu.
Kwa scenario kama yako sinahakika, tena wakijua umeshazaa nje ya ndoa ndo kabisa huwezi pata, labda ufiche.
Lakini kwa waliobahatika kuendelea, unaanza pre-form one mwaka mzima. Then unaendelea na Secondary baada ya pre. Wakati wote inabidi ufaulu mitihani kwa passmark zao. Ukizingua wanarudisha home, na wako serious katika hilo. Tabia yako pia iwe njema, ndo maana wanaanza na wewe ukiwa shule ya msingi.
Baada ya secondary unaenda advance, shule zao tena. Huko sasa ndio wengi huwa wanafanya maamuzi ya kuendelea na upadre au kuishia mitini. Wengi wao hutokomea. Kama utafulu fresh advance na somo lao la dini unaenda Chuo, huko me sijui. Lakini kuna mambo mengi mengi. Kuna Theology, philosophy, baadae unakuja kuwa shemasi then flater au flater then shemasi (sikumbuki), na baadae utapewa daraja la upadre. Sio mchezo ndugu.
Kwa scenario kama yako sinahakika, tena wakijua umeshazaa nje ya ndoa ndo kabisa huwezi pata, labda ufiche.