Nataka kujiunga na Upadre ila kuna ufafanuzi ambao sijaupata

Nataka kujiunga na Upadre ila kuna ufafanuzi ambao sijaupata

Umeendika maelezo mengi sana, nilikushangaa kwa kusema hakuna Padri hoe hae.. huo sio utaratibu wa Mungu, mitume wa Yesu wengine hawakuwa wanajua hata kusoma..

Soma hapa kidogo utaelewa

1 Kor 1 : 27- 29


bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu; tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko; mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu.
Nadhani unafahamu kuwa mfumo wa kuwapata mapdre wa kikatoliki sio sawa na ule wa "Uteuzi" aliofanya Yesu.

Wao wana kanuni, sheria, taratibu na vigezo vyao.. KAMA WEWE NI MKATOLIKI utafahamu, vinginevyo vifungu vya biblia Kuanzia MWANZO mpaka UFUNUO hukuti hata neno "PADRE"

Sitakujibu tena, REJEA MAPOKEO YA WAKATOLIKI kisha usianisha na bandiko la huyu mtu.
 
Nadhani unafahamu kuwa mfumo wa kuwapata mapdre wa kikatoliki sio sawa na ule wa "Uteuzi" aliofanya Yesu.

Wao wana kanuni, sheria, taratibu na vigezo vyao.. KAMA WEWE NI MKATOLIKI utafahamu, vinginevyo vifungu vya biblia Kuanzia MWANZO mpaka UFUNUO hukuti hata neno "PADRE"

Sitakujibu tena, REJEA MAPOKEO YA WAKATOLIKI kisha usianisha na bandiko la huyu mtu.
Kanisa haliwezi kuwa juu ya Mungu . Katoliki haliwezi kuwa juu ya Mungu
 
Kanisa haliwezi kuwa juu ya Mungu . Katoliki haliwezi kuwa juu ya Mungu
Hahahaha

WACHA NIKUJIBU KWA SIFA NA UTUKUFU WA MUNGU ALIYE HAI..

Sio kanisa tu, CHOCHOTE CHENYE PUMZI na KISICHO NA UHAI, Kiwe kinaonekana au hakionekani KAMWE.. KAMWE.. KAMWEEE.. Hakiwezi kumkaribia Mungu, sio tu kuwa nae sawa.. Kuukaribia tu Ukuu na Uweza na Utukufu na Uaminifu Wake.

ILA kanisa Katoliki LINA TARATIBU ZAKE, Je wewe "holy man" unaweza/unataka kuziingilia/kuzivunja ili kusudi huyu ndugu awe padre?
 
Hahahaha

WACHA NIKUJIBU KWA SIFA NA UTUKUFU WA MUNGU ALIYE HAI..

Sio kanisa tu, CHOCHOTE CHENYE PUMZI na KISICHO NA UHAI, Kiwe kinaonekana au hakionekani KAMWE.. KAMWE.. KAMWEEE.. Hakiwezi kumkaribia Mungu, sio tu kuwa nae sawa.. Kuukaribia tu Ukuu na Uweza na Utukufu na Uaminifu Wake.

ILA kanisa Katoliki LINA TARATIBU ZAKE, Je wewe "holy man" unaweza/unataka kuziingilia/kuzivunja ili kusudi huyu ndugu awe padre?
Hapana, mie ni mmoja ya watu wanao heshimu sana misingi na viwango. Utaratibu uliowekwa lazima uheshimike
 
Kuandaliwa kuwa padre inaanza ukiwa mdogo..form one unaanzia seminary. Sasa wewe mwenzetu umeshaishi na mwanamke ukute umegonga wanawake kibao na kufanya starehe zote za dunia hii ndo unataka uende.
Wenzio hawalijui tendo la ndoa likoje (ingawa wanafanya kwa siri). Wewe utaweza kuacha kubanjuana?
Hayo ni mawazo yako Mkuu, ila kwa maelezo ya awali ni kuwa kama umefunga Ndoa kanisani haiwezi kubadilika na kutumikia Kanisa, ikiwa una mtoto Kanisa linakutaka kulihakikishia malezi ya Mtoto mpaka atapofika 18years. Mengineyo yatajulikana wakati ukiwa katika mchakato.
 
Hapo kwenye chuo sio miaka sita ni saba, Falsafa 3yrs,theolojia 4yrs.
Hujamuweka mwaka wa malezi Na mwaka wa kichungaji

Kwa kifupi mtoa Mada hana sifa ya msingi ambayo ni useja maana ameshaishi na mwanamke na ana mtoto.
Ndio nimeishi na mwanamke lakini sikufunga Ndoa Kanisani na tumeachana.
 
Hapana, mie ni mmoja ya watu wanao heshimu sana misingi na viwango. Utaratibu uliowekwa lazima uheshimike
Mleta mada hajafikia viwango kwa maelezo tu ya kwake kasema kazaa na mwanamke ila hajafunga naye ndoa

kanisa katoliki hutaka mwanaume awe rijali yaani dude liwe linafanya kazi barabara halafu wanafuatilia hilo dude lake lililo katikati ya mapaja kidume huyu kalitumiaje maishani mwake kama alikuwa kitombi wanajua hawezi dhibiti tamaa za mwili na tamaa nyingine sababu tamaa kubwa kuliko zote ni kudhibiti hilo dude ndio maana kwenye vetting hufuatilia sana matumizi ya hilo dude wakigundua lina msumbua hata kama uko seminari au uwe padri wanamuachisha

Sasa huyo mheshimiwa mleta mada keshazaa na kuzaa kabisa !!!! ushahidi tosha wa kumtupilia mbali hawezi dhibiti nyege zake DUDE LAKE LINAZALISHA WATOTO WA MITAANI SIO WA NDOA

pili kwa wale mnaotaka kujua procedures upadre kuingia process zake kali kuliko masisita jarinu kuangalia hizi za masista process zake mdio utajua kuwa kama usista uko hivi upadre je?

msikilize huyu sista akijieleza kwa kiswahili fasaha kabisa process alizopitia hadi kuwa sista

 
Mleta mada hajafikia viwango kwa maelezo tu ya kwake kasema kazaa na mwanamke ila hajafunga naye ndoa

kanisa katoliki hutaka mwanaume awe rijali yaani dude liwe linafanya kazi barabara halafu wanafuatilie hilo dude lake lililo katikati ya mapaja kidume huyu kalitumiaje maishani mwake kama alikuwa kitombi wanajua hawezi dhibiti tamaa za mwili na tamaa nyingine sababu tamaa kubwa kuliko zote ni kudhibiti hilo dude ndio maana kwenye vetting hufuatilia sana matumizi ya hilo dude wakigundua lina msumbua hata kama uko seminari au uwe padri wanamuachisha

Sasa huyo mheshimiwa mleta mada keshazaa na kuzaa kabisa !!!! ushahidi tosha wa kumtupilia mbali hawezi dhibiti nyege zake

pili kwa wale mnaotaka kujua procedures upadre kuingia pr0cess zake kali kuliko masisita jarinu kuangalia hizi za masista process zake mdio utajua kuwa kama usista uko hivi upadre je?

msikilize huyu sista akijieleza kwa kiswahili fasaha kabisa process alizopitia hadi kuwa sista

Haya maelezo yako hayana msingi Kwenye swali langu la msingi mkuu. Kanisa sana sana haliangalii uwezekano wa kukuengua usiwe padri. Wanaangalia sababu za wewe kutaka kutumikia Kanisa.
 
Haya maelezo yako hayana msingi Kwenye swali langu la msingi mkuu. Kanisa sana sana haliangalii uwezekano wa kukuengua usiwe padri. Wanaangalia sababu za wewe kutaka kutumikia Kanisa.
Si kweli nina mifano kibao ya wanaume na wanawake walioshindwa kudhibiti nyege zao wakaondolewa kwenye process bila kufikia daraja la upadre na usista sembuse uliyezaa kabisa nje ya ndoa ukadharau sakramenti ya ndoa
 
Kuzalisha mtoto nje ya ndoa maana yake kadharau sakramenti ya ndoa

Sasa mtu anadharau sakramenti ya ndoa halafu eti anataka kuwa padri ATAKAYESIMAMIA SAKRAMENTI YA NDOA !!! Upadre hawezi huyo
 
Si kweli nina mifano kibao ya wanaume na wanawake walioshindwa kudhibiti nyege zao wakaondolewa kwenye process bila kufikia daraja la upadre na usista sembuse uliyezaa kabisa nje ya ndoa ukadharau sakramenti ya ndoa
Huwezi jua kwanini Ndoa haikufanyika hapo, maana paroko wa parokia alikua akinihiza nifunge Ndoa, lakini sikuona kama kuna sababu ya kufunga Ndoa maana nafsi yangu haikua na Amani, niliona naenda kufanya jambo ambalo siyo.
 
Mleta mada hajafikia viwango kwa maelezo tu ya kwake kasema kazaa na mwanamke ila hajafunga naye ndoa

kanisa katoliki hutaka mwanaume awe rijali yaani dude liwe linafanya kazi barabara halafu wanafuatilia hilo dude lake lililo katikati ya mapaja kidume huyu kalitumiaje maishani mwake kama alikuwa kitombi wanajua hawezi dhibiti tamaa za mwili na tamaa nyingine sababu tamaa kubwa kuliko zote ni kudhibiti hilo dude ndio maana kwenye vetting hufuatilia sana matumizi ya hilo dude wakigundua lina msumbua hata kama uko seminari au uwe padri wanamuachisha

Sasa huyo mheshimiwa mleta mada keshazaa na kuzaa kabisa !!!! ushahidi tosha wa kumtupilia mbali hawezi dhibiti nyege zake DUDE LAKE LINAZALISHA WATOTO WA MITAANI SIO WA NDOA

pili kwa wale mnaotaka kujua procedures upadre kuingia process zake kali kuliko masisita jarinu kuangalia hizi za masista process zake mdio utajua kuwa kama usista uko hivi upadre je?

msikilize huyu sista akijieleza kwa kiswahili fasaha kabisa process alizopitia hadi kuwa sista


Ila huku mtaani ma padre wana watoto ? Pia mie nimesoma na mtoto wa Padre 😦
 
Huwezi jua kwanini Ndoa haikufanyika hapo, maana paroko wa parokia alikua akinihiza nifunge Ndoa, lakini sikuona kama kuna sababu ya kufunga Ndoa maana nafsi yangu haikua na Amani, niliona naenda kufanya jambo ambalo siyo.
Kwa hiyo ulidharau sakramenti ya ndoa? Kipi kikubwa amani ya moyo wako au agizo la kanisa linalotaka sakramentii ya ndoa iheshimiwe? Kanisa huwa halitaki wabishi hasa kwenye maagizo ya kanisa kuwa mapadre wewe una roho ya ubishi kwenye maagizo ya kanisa
 
Ushaonja mbunye,huna sifa.
Sifa ninazo Mkuu.
Mojawapo ya sifa ya kuingia katika daraja la upadrisho. Usiwe umefunga ndoa (Catholic) maaana huwezi kutumikia Mabwana wawili.

Ikiwa umefunga ndoa basi ndoa hiyo iwe imevunjwa ama kwa sababu zingine haitambuliki na Kanisa.

Kanisa linakutaka kutunza Mtoto aliyezaliwa hadi Miaka 18.

Zaidi ya hapo ni sababu ambazo ziko inje ya uwezo wako.
Hivi nikuulize, kuna mtu ambae hajawai kufanya dhambi yoyote?
 
Back
Top Bottom