Nataka kujiunga na Upadre ila kuna ufafanuzi ambao sijaupata

Uwe na elimu ya form six na ufaulu usio chini ya daraja la tatu au uwe umetoka chuo na uwe huna mtoto... utaenda mwaka wa malezi mmoja ... ukionekana unafaa unaenda MAFUNZO miaka mi 3 ya falsafa then miaka 4 ya TAWHID ukitoka hapo unaweza ukapewa Hilo Daraja ...
 
Wewe kamanda kama vipi endelea tu ku Banjuka huko mtaani! Mambo ya upadre yanahusiana na wito. Na kwa bahati nzuri huna dalili hata moja ya huo wito.

Hivyo ukiwa padre uta Banjuka sana wewe!!
 
Hii taarifa si sahihi.
 
Mafunzo + malezi si chini ya miaka 7 ila wengi wanapiga 8 mpka tisa
 
Ndio nimeishi na mwanamke lakini sikufunga Ndoa Kanisani na tumeachana.
Yani unadhihirisha dhambi ya uzinzi wazi wazi,wewe Kwa lugha ya kanisa ni suria
Pia umesema Una mtoto, huwezi kuwa mseja Huku una mtoto
 
Mkuu!kuwa Baba wa familia ndio utumishi Bora zaidi!!Acha kujiunga na kikundi cha kijasusi cha ulimwengu cha watawa ambao sio watawa Bali waongo zaidi!!kikundi cha siri cha utumishi wa shetani kwa kisingizio cha mungu!!!ACHANA NAO HAO WANAFANANA NA CIA,FBI!!!!NA WANA TABIA MOJA INAYOFANANA NAYO NI KUTOKUA NA FAMILIA YAANI MKE NA WATOTO!!!
 
Umenikumbusha kuna kaka wa rafiki yangu alikuwa Mwalimu pale Green acres, amekula vitoto vya shule hadi kachoka then akawa anataka kusoma master's nje ya Tz, wakatiana 30+ eti akaenda ili awe padre, akaenda Morogoro then Dodoma kwaajili ya recruitment.......akafail huko na kurudishwa.....now ana mke na watoto
 
Ukatekista utakufaa zaidi maana huna sifa ya kuwa padri. Sifa kuu ya kuwa padri ni kutokuoa na kutofanya tendo la ndoa. Uishi maisha kama ya yesu.
 
Washatia Kambi wazee wa kusoma mstari mmoja na kuishi nao[emoji23]
 
Kamuulize paroko au askofu wako
 
Ndugu yangu uwe na sababu ya Msingi kujiunga na upadre.
Kama sababu yako Ni changamoto ya nguvu za kiume ili ukajifiche parokoni , jipange Tena. Mtihani wa kwanza kule Ni Kama inafanya kazi vizuri.
 
Je? Umehifadhi Biblia kwa moyo tena yote mimi ni Muislamu lkn nakusaidia kdg anza hapo au wafuate kina Mazinge watakusaidia jinsi gani walihifadhi hiyo Biblia.
 
Andiko lako linadhihirisha jinsi ulivo mbali na jumuiya yako, mambo yote yanaanzia chini, kama una wito muone mkurugenzi wa miito wa shirika lolote la kitawa au wa jimbo ulipo, majibu utapata. Ila kama una mtoto ni ngumu
 
Andiko lako linadhihirisha jinsi ulivo mbali na jumuiya yako, mambo yote yanaanzia chini, kama una wito muone mkurugenzi wa miito wa shirika lolote la kitawa au wa jimbo ulipo, majibu utapata. Ila kama una mtoto ni ngumu
Ngoja nikienda nitaleta mrejesho sababu huku nilipo nipo mbali na maeneo ya jumuiya yangu. Asanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…