Wewe kamanda kama vipi endelea tu ku Banjuka huko mtaani! Mambo ya upadre yanahusiana na wito. Na kwa bahati nzuri huna dalili hata moja ya huo wito.Habari za wakati huu wanajamii.
Moja kwa moja kwenye swali langu la msingi.
Nahitaji kujiunga na Updare wa Kanisa Katoliki, ila kuna baadhi ya maswali sijaweza kupata ufafanuzi wake.
1. Ni umri gani unakuwa mwisho wa kujiunga na upadre?
2. Je, ni elimu kiwango gani kinakubalika ili kuendelea na masomo ya Upadre?
3. Je, kama nilikuwa na mahausiano ambayo sikufunga Ndoa Kanisani, baadae mahusiano yakafa na tumeshapata Mtoto inakuaje?
Nakuombeni ufafanuzi wa kina wandugu.
Hii taarifa si sahihi.Ukifika darasa la Saba unafanya mitihani ya seminari ili kukuandaa kuingia kidato cha kwanza ,ukifaulu kwa alama wanazotaka basi unapewa fomu ya kujaza ,unalipa ada zao na ndipo tunaanza kidato cha kwanza ,suala la umri ukiingia kidato cha kwanza unasoma pre_form one mwaka mmoja,mpaka unamaliza sekondari unakuwa umetumikia miaka mitano lakini pia kuna mitihani ambayo unafanya hiyo mitihani ukipata chini ya alama 50 unarudishwa nyumbani kwa maana umeshindwa kuendelea na shule hivyo kama ulianza na miaka 14 utamaliza na miaka 19 ,mwaka wa mwisho wa masomo unachagua masomo yako matatu pamoja na Bible knowledge huku ukichagua shule za kidato cha tano ambazo zinahusika na seminari za kikristo pia unatakiwa ufaulu kwa kiwango cha division one au two zile za mwanzo hivyo ukifaulu unakwenda kusoma kwa miaka miwili yaani five na six ,jumlisha miaka 19 na hii miwili inakuwa miaka 21 baada ya hapo ukifaulu unakwenda chuo kwa miaka kama 6 hivyo mpaka unamaliza unakuwa na miaka 27,28,30 na ndani ya hiyo miaka 6 ndipo unaambiwa hakuna kuona wewe utahudumia jamii tu
Yani unadhihirisha dhambi ya uzinzi wazi wazi,wewe Kwa lugha ya kanisa ni suriaNdio nimeishi na mwanamke lakini sikufunga Ndoa Kanisani na tumeachana.
Ukatekista utakufaa zaidi maana huna sifa ya kuwa padri. Sifa kuu ya kuwa padri ni kutokuoa na kutofanya tendo la ndoa. Uishi maisha kama ya yesu.Hayo ni mawazo yako Mkuu, ila kwa maelezo ya awali ni kuwa kama umefunga Ndoa kanisani haiwezi kubadilika na kutumikia Kanisa, ikiwa una mtoto Kanisa linakutaka kulihakikishia malezi ya Mtoto mpaka atapofika 18years. Mengineyo yatajulikana wakati ukiwa katika mchakato.
sawa msabato, tumekusikia.[emoji16][emoji16][emoji16]....Acha kujiunga na kikundi cha kijasusi cha ulimwengu cha watawa.....ACHANA NAO HAO WANAFANANA NA CIA,FBI
Haelewi hata maana ya useja huyo ni Katoliki kokoKama una MTOTO ni changamoto...
Washatia Kambi wazee wa kusoma mstari mmoja na kuishi nao[emoji23]Umeendika maelezo mengi sana, nilikushangaa kwa kusema hakuna Padri hoe hae.. huo sio utaratibu wa Mungu, mitume wa Yesu wengine hawakuwa wanajua hata kusoma..
Soma hapa kidogo utaelewa
1 Kor 1 : 27- 29
bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu; tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko; mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu.
Kamuulize paroko au askofu wakoHabari za wakati huu wanajamii.
Moja kwa moja kwenye swali langu la msingi.
Nahitaji kujiunga na Updare wa Kanisa Katoliki, ila kuna baadhi ya maswali sijaweza kupata ufafanuzi wake.
1. Ni umri gani unakuwa mwisho wa kujiunga na upadre?
2. Je, ni elimu kiwango gani kinakubalika ili kuendelea na masomo ya Upadre?
3. Je, kama nilikuwa na mahausiano ambayo sikufunga Ndoa Kanisani, baadae mahusiano yakafa na tumeshapata Mtoto inakuaje?
Nakuombeni ufafanuzi wa kina wandugu.
Ndugu yangu uwe na sababu ya Msingi kujiunga na upadre.Habari za wakati huu wanajamii.
Moja kwa moja kwenye swali langu la msingi.
Nahitaji kujiunga na Updare wa Kanisa Katoliki, ila kuna baadhi ya maswali sijaweza kupata ufafanuzi wake.
1. Ni umri gani unakuwa mwisho wa kujiunga na upadre?
2. Je, ni elimu kiwango gani kinakubalika ili kuendelea na masomo ya Upadre?
3. Je, kama nilikuwa na mahausiano ambayo sikufunga Ndoa Kanisani, baadae mahusiano yakafa na tumeshapata Mtoto inakuaje?
Nakuombeni ufafanuzi wa kina wandugu.
Ngoja nikienda nitaleta mrejesho sababu huku nilipo nipo mbali na maeneo ya jumuiya yangu. Asanteni.Andiko lako linadhihirisha jinsi ulivo mbali na jumuiya yako, mambo yote yanaanzia chini, kama una wito muone mkurugenzi wa miito wa shirika lolote la kitawa au wa jimbo ulipo, majibu utapata. Ila kama una mtoto ni ngumu
Uko pande zipi? Jitahidi kupata hata namba za mkurugenzi wa miito, atakupa majibuNgoja nikienda nitaleta mrejesho sababu huku nilipo nipo mbali na maeneo ya jumuiya yangu. Asanteni.
Umesoma namupa seminary mkuu?Niliondoka four 4 2008 hapo,kwa mjerumani.