Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natumain wazima kama kichwa Cha habari kinavojieleza.
Nilikuwa kwenye mahusiano na mtu lakini nilikuta tayari anamtoto wa miaka 5 mwenzangu hakuwai Kuishi na mzazi mwenzio na mtoto analelewa Kwa bibi yake, baada ya kunitambulisha yule mtoto kiukweli nilikuwa nampenda sana na mtoto alikuwa Yuko karibu sana na Mimi ni mpole anaadabu sana.
Baada ya muda nikahama mkoa x ila mtoto Kila akiwa na babaake anasema msalimie mama na simu anaomba anipigie niongee nae now nimetengana na baba Kwa sabbu tulizoshindwa kuzitatua na mtoto sahiz anamiaka 8 lakini nikirudi haipiti siku lazima Aje kunisalimia na ananiita mama lakin sioni tatizo najua ni upendo tu.
Kubwa kuliko Wana mahafali madrasa akaja kunipa taarifa na kilasiku huwa anakuja kunikumbusha nisisahau kwenda kutokana na ubusy na kwakuwa ni mtoto Kuna details hakunipa yaani muda wa sherehe na mahitaji mengine nikaamua kumpigia simu babaake kumuuliza aniambie muda Cha ajabu baba Hana taarifa na hakupewa na mtoto na huwa wanaonana sana.
Nimejisikia vibaya nahisi huu ukaribu Sasa utaleta tafrani nataka nikae mbali na huyu mtoto bila kumuonyesha kuwa sipo kbisa na babaake
namnagan nimuweke mbali na isimuathiri huyu mtoto?
Na kma sio uamuz mzuri mnaweza kunisahihisha
sophy27 rafiki yangu kwanza pokea pongezi zangu.😂😂Wew umeona single tu hapo😂😂😂
Asante kwa kuniunga mkonoUsikae mbali na mtoto, utapata baraka usiyoitarajia.
Kwanin lkn🤣🤣🤣🤣Wee endelea tuu mie nilipigwa kibuti mapema tuu. Alafu imagine ananikataa mie kumbe alikuwa ana date na single father 🤣🤣🤣🤣
Hapa ndipo unapojua wanawake wanapenda kishare de libolo🤣🤣🤣🤣
Pesa Haina maana km ukiamua kumpenda mtu utu Ndo kitu Cha kwanzaSubiri akipata pesa utamtafuta ukae karibu yake
Mapenzi bila pesa ni sawa na chai bila sukari, unaweza inywa lakini sio tamuSingle
Kwanin lkn🤣🤣🤣🤣
Pesa Haina maana km ukiamua kumpenda mtu utu Ndo kitu Cha kwanza
Mamaake kashaolewa somewhere mbali kidogo na alipo mtoto Asante nitazingatia ushauriJitahidi uende kwenye hayo maafali, jitahidi pia kumpenda kama anvyokupenda wewe.
Nilitaka kuuliza vipi kuhusu mama yake?
Katika hizo sababu zilizoshindwa kutatulika ikitokea sababu ya kutatulika unaweza kurudiana na huyo mr?
Yote ya yote moyo au nafsi ya mwanadamu au pengine kiumbe chochote huwa kina hisia za upendo kwa mtu au kitu bila ya kua na sababu.
Mtu au chochote kinachoonyesha kuwa upendo nawe, jitahidi nawe kuonyesha upendo kuzidi yeye, itakusadi sana kama sio leo basi kesho au mtondogoo.
Nimeshauriwa nirudishe majeshi vitani bwana...na kibaridi hiki jamani mbususu bila de libolo sii majanga🤣🤣Nimecheka aisee