Nataka kukaa mbali na mtoto

Nataka kukaa mbali na mtoto

sophy27 rafiki yangu kwanza pokea pongezi zangu.
Ni nadra sana wasichana wa kisasa kuwa na upendo wa aina hasa umetengana na babake.

Ushauri wangu;
Huna haja ya kumtenga mtoto na upendo wako jspo chanzo kilikuwa ni mahusiano yenu lakini wewe ni mkomavu kiakili kwani uliweza kutenganisha mapenzi na upendo kwa mtoto.

Epuka kumtenga huyo mtoto zaidi ni kuongeza umakini hasa unaposhirikishwa jambo umdadisi kama amemhusisha na baba yake.

Hongera sana
Sawa nitajitahidi Yan akiniona anafurahi sana na nikimwambia chochote ananielewa
 
Na kwa mahusiano yake mapya kama mtu sio muelewa anaeza msumbua akidhani bado wana uhusiano na ukaribu baba mtoto!
Kwa kweli in the long run itamletea shida kwa mpenzi wake au hata kwa huyo baba mtoto na mpenzi wake. Sio rahisi mwanaume wako akuelewe eti upo so close na mtoto wa ex wako, na awe na amani; labda kama baba mtoto angekuwa amekufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado mnaishi karibu nahuyo ex wako yani baba mtoto??? ????

Unadhani mtoto anaweza kuwafanya mkarudiana??? Au nivile ataharibu mahusiano yako mapya??

Mtoto hana shida nivile anakukubali sana the way ulijenga nae bond na unavyomjali sana!!
If so Fanya utaratibu wa kuhamia mbali kidogo kusiwepo na mawasiliano ya karibu wewe nahuyo mtoto!!
Tunaishi mbali sasahiv lkn nikirudi home lazima tuonane tupo jiran sana
Lkn umbali haujawah kuzuia hili yaan nampenda nae hawez Nije anione asije na nikiwa mbali huwa anamuuliza mama anarudi lini
 
Kwa kweli in the long run itamletea shida kwa mpenzi wake au hata kwa huyo baba mtoto na mpenzi wake. Sio rahisi mwanaume wako akuelewe eti upo so close na mtoto wa ex wako, na awe na amani; labda kama baba mtoto angekuwa amekufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Kuna ukakasi mtu mwingine kukuelewa
 
Back
Top Bottom