Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbeee...sasa njoo upate utamu wa de libolo bwanaNdo maana tukajenga nyumba Ili tustiri ya ndani yasiwe nje kilamtu akajua tukaona haitoshi tukaongeza na pazia 😂
Fursa😂😂Wew umeona single tu hapo😂😂😂
Sawa nitajitahidi Yan akiniona anafurahi sana na nikimwambia chochote ananielewasophy27 rafiki yangu kwanza pokea pongezi zangu.
Ni nadra sana wasichana wa kisasa kuwa na upendo wa aina hasa umetengana na babake.
Ushauri wangu;
Huna haja ya kumtenga mtoto na upendo wako jspo chanzo kilikuwa ni mahusiano yenu lakini wewe ni mkomavu kiakili kwani uliweza kutenganisha mapenzi na upendo kwa mtoto.
Epuka kumtenga huyo mtoto zaidi ni kuongeza umakini hasa unaposhirikishwa jambo umdadisi kama amemhusisha na baba yake.
Hongera sana
Shemeji salio lilikata nini?Tumeshindwa sabbu ni za kimapenzi zaidi sio tabia Kwamba mtarekebishana sio rahis kuzimaliza
Kwa kweli in the long run itamletea shida kwa mpenzi wake au hata kwa huyo baba mtoto na mpenzi wake. Sio rahisi mwanaume wako akuelewe eti upo so close na mtoto wa ex wako, na awe na amani; labda kama baba mtoto angekuwa amekufa.Na kwa mahusiano yake mapya kama mtu sio muelewa anaeza msumbua akidhani bado wana uhusiano na ukaribu baba mtoto!
Jibu ni lilelile,hakikisha unaoa huyo
Tunaishi mbali sasahiv lkn nikirudi home lazima tuonane tupo jiran sanaBado mnaishi karibu nahuyo ex wako yani baba mtoto??? ????
Unadhani mtoto anaweza kuwafanya mkarudiana??? Au nivile ataharibu mahusiano yako mapya??
Mtoto hana shida nivile anakukubali sana the way ulijenga nae bond na unavyomjali sana!!
If so Fanya utaratibu wa kuhamia mbali kidogo kusiwepo na mawasiliano ya karibu wewe nahuyo mtoto!!
Ni kweli Kuna ukakasi mtu mwingine kukuelewaKwa kweli in the long run itamletea shida kwa mpenzi wake au hata kwa huyo baba mtoto na mpenzi wake. Sio rahisi mwanaume wako akuelewe eti upo so close na mtoto wa ex wako, na awe na amani; labda kama baba mtoto angekuwa amekufa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haipelekewi moto 😂🤣Mbususu imepoa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alafu alinikataa huyu huko pm [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa wewe unacheka nini wakati na wewe pia ulinikataa nilivyo omba nipate kulipakata tako skonsi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawe kama fisi.Sasa wewe unacheka nini wakati na wewe pia ulinikataa nilivyo omba nipate kulipakata tako skonsi
Nakuja mrembo ...usije ukaoneka upo single singleView attachment 2338349Siku ya sherehe imewadia 🥰
Thanks wote mlonishauri
mzabzab vipi twende basi😂😂😂
Mbona picha haionekani nione hicho kijora ulichovaaView attachment 2338349Siku ya sherehe imewadia [emoji3059]
Thanks wote mlonishauri
mzabzab vipi twende basi[emoji23][emoji23][emoji23]