Nataka kukaa mbali na mtoto

Usimuache huyo mtoto ataumia mno maana naelewa maumivu ya kumpoteza na kukata mawasiliano ghafla na mtu unayempenda na uliyemzoea haijalishi ni nani kwako
 

Mnamtesa snaa Huyu mtoto. Najua kuna Baraka za kuchuma hapo
 
😂😂Wew umeona single tu hapo😂😂😂
sophy27 rafiki yangu kwanza pokea pongezi zangu.
Ni nadra sana wasichana wa kisasa kuwa na upendo wa aina hasa umetengana na babake.

Ushauri wangu;
Huna haja ya kumtenga mtoto na upendo wako jspo chanzo kilikuwa ni mahusiano yenu lakini wewe ni mkomavu kiakili kwani uliweza kutenganisha mapenzi na upendo kwa mtoto.

Epuka kumtenga huyo mtoto zaidi ni kuongeza umakini hasa unaposhirikishwa jambo umdadisi kama amemhusisha na baba yake.

Hongera sana
 
Single
Wee endelea tuu mie nilipigwa kibuti mapema tuu. Alafu imagine ananikataa mie kumbe alikuwa ana date na single father 🤣🤣🤣🤣

Hapa ndipo unapojua wanawake wanapenda kishare de libolo🤣🤣🤣🤣
Kwanin lkn🤣🤣🤣🤣
Subiri akipata pesa utamtafuta ukae karibu yake
Pesa Haina maana km ukiamua kumpenda mtu utu Ndo kitu Cha kwanza
 
Mamaake kashaolewa somewhere mbali kidogo na alipo mtoto Asante nitazingatia ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…