RubbishMagufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-
1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa
2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa
3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.
4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake
5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.
6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.
7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule
8. Bulembo.. n.k.
(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.
Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.
N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.
Naomba kuwasiliana.
Huna uwezo huo tulia ssa hivi no somo la KIKOPA Kwanza liwaingie watanzaniaKama ni fununu ndiyo tutaenda kuzithibitisha mahakamani. Tuliza mshono
Hata shule hana huyuUmewai kuona katiba ya Tanzania ata kuishika tu?,najua hujawai kuisoma.
Ulitumbuliwa hahaMaana yake ni kwamba mtu huyu alitenda unyama mno !
Hoja imeungwa mkono na miguu, niko tayari kuja mahakamani kutowa ushahidi juu ya ufedhuri wa huyu jahili.Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-
1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa
2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa
3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.
4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake
5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.
6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.
7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule
8. Bulembo.. n.k.
(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.
Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.
N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.
Naomba kuwasiliana.
Mtoa mada ni mburulaMpuuzi mkubwa sana. Heshima ya magufuli hata walio hai hawana. Peleka hiyo kesi ntamuwakilisha jpm tuone kama utanishinda.
Nchi imerudi kama zamani upuuzi wote kazini, ujambazi, wizi nje nje afu unaongea ujinga?
Ok yote uliyosema sawa lakini mtu ameishafariki na historia yake imeisha,tumwacheMagufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-
1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa
2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa
3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.
4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake
5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.
6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.
7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule
8. Bulembo.. n.k.
(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.
Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.
N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.
Naomba kuwasiliana.
Hajawahi kuwa Rais wanguB Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii
Wazo zuri sana,na mifupa yake itolewe kaburini na ichapwe vibokoMagufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-
1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa
2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa
3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.
4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake
5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.
6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.
7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule
8. Bulembo.. n.k.
(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.
Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.
N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.
Naomba kuwasiliana.
Mungu aliwaepusha na nini wazanzibar kwa kifo cha Maalim Self?huyo jamaa alukuwa zaidi ya shetani ndio maana Mungu akaamua kutuepusha na kikombe kile
Kwa hakika mtu huyu makazi yake ni motoni, na asipokuwa motoni jahili huyu basi hata swala la kuzimu na motoni itakuwa ni myths tu.Kama ni fununu ndiyo tutaenda kuzithibitisha mahakamani. Tuliza mshono
Maalim alishamaliza umri wa kibiblia, Magufuli amekufa bado dogo tu.Mungu aliwaepusha na nini wazanzibar kwa kifo cha Maalim Self?
Hayo maneno unayoongea yasije kukutokea puani kwa sababu tu ya chuki zako za kisiasa maisha ni zaidi ya siasaMaalim alishamaliza umri wa kibiblia, Magufuli amekufa bado dogo tu.
Roho mbaya, kiburi na ukatili ndio vimefanya Mungu aingilie kati.
Hata ile mijoka mikubwa mijabali Mungu huipaza mbinguni ili isidhuru binadamu, ila huyu marehemu wenu ametwaliwa kuzimu.
Bado unaota utawala wa mungu wenu wa chato?Hayo maneno unayoongea yasije kukutokea puani kwa sababu tu ya chuki zako za kisiasa maisha ni zaidi ya siasa
Mkoa gani huo?Mwingira kachukua mkoa mzima kaumiliki kwa gia ya uwekezaji ,hawa wanaopiga kelele wananifikirisha kila mmoja ama nundu lake .
Washtaki maiti? Hao jamaa wote walikuwa viherehere at some point kama kuna ambaye ni msafi kati yao aende akafungue jalada la mashitaka😅!Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-
1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa
2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa
3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.
4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake
5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.
6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.
7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule
8. Bulembo.. n.k.
(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.
Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.
N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.
Naomba kuwasilisha.