Nataka kumfungulia kesi Hayati Dkt. Magufuli kwa madhila aliyowafanyia Watanzania

Itakua umepewa mirinda ww..sio bure
 
Mimi sio mshabiki wa siasa na wala Sina mpango wakuwa mshabiki au mwanachama wa chama chochote kama wewe dio maana huwezi kunikuta Mara nyingi huku ila sijapendezwa na mihemko isiyo na tija inayokuendesha mpaka kutumia maneno makali kwa marehemu hiv huyo angekuwa baba yako ungeongea maneno machafu kama hayo
 
kwenye mahakama ipi Mkuu?
 
Mkuu amka toka usingizi kesho NI mkesha wa kukaribisha mwaka mpya ...acha ndoto
 
Inawezekana hukugusa mkuu, ila kama tunavyoongea ungekuwa unatembelea magongo, huna nyumba ya kuishi, umezika moto wako, angalau TU ungenyamaza maana na kunyamaza ni hekima, Mungu akasimame na kuamua
 
Usituulize!
Labda kamuulize ZIRO na Kingai!
 
Pamoja sana Mkuu Sexless, hii itweka kumbukumbu sawa dhidi ya wale Sukuma gang wanaolazimisha legacy ya uwongo
 
Wakulima wa korosho huko kusini.
Wananch wa MKIRU hawa ndugu zao waliuwawa KISA tu walikuwa na ndevu ndefu.
Wazazi wa Ben Sanane, Anzory Gwanda, Mawazo,Akwilin na wale wote miili yap iliyotupwa kwenye sandarusi.
Wafanyakazi wa TCRA waliodukua sauti za kina makamba nk
Wabunge wote na madiwani waliounga mkono juhudi
Nk
 
Mfumo upi uliowekwa kwenye payroll?
Acha kudanganya watu wewe. Mbona hajatoa watumishi hewa wa JESHINI???
 
Kuna rais wa nchi fulani alisema kuwa "mkiona wazungu wananisifia jueni nimeshawasaliti!!".
Huyo mfu mnaempiga mawe angalieni yasije kuwarudia.
Maovu ya Magufuli aliyotenda yanamtisha hata shetani. Hayawezi kumrudia mtanzania yeyote
 
Usisahau Mwamba(Jiwe) Aliaga duniani lakini Amezaliwa tena(Rebirth) katia mioyo ya mamilion ya wa tz,wa afrika, duniani. Usije mkajaribu kufanya ujinga kufuta historia. ,Sisi wanyombe( Dictotorship proletarian ) wa Marxism.Kutawachapa kwa mawe na kuanzisha Ukomonist. Na kuwa Africa superpower ka Uchina.
 
Acheni figisu za ajabu.
Kama familia yako haijawahi kuguswa na unyama wa Magufuli basi una bahati. Endelea kumuabudu, ila kwa sisi tulioharibiwa maisha tutaendelea kuandika hadi pumzi yetu ya mwisho
 
Huna akili mbwa wewe
 
Kama familia yako haijawahi kuguswa na unyama wa Magufuli basi una bahati. Endelea kumuabudu, ila kwa sisi tulioharibiwa maisha tutaendelea kuandika hadi pumzi yetu ya mwisho
Babako alikuwa cheti feki ,na wewe uliyetiwa mimba shuleni kisha magufuli kukataa kuendelea kusoma lazima umchukie.
 
Unyama wa Magufuli hata shetani anaogopa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…