Nataka kumuoa huyu mlimbwende wa JF

Arurururuuuuuuh walisema hataoa mbona anakaribia kuoa.🀨
Amuoe nani?? Ameshaoa ni mtoto wake anaoa anawatoto wakubwa 2019 mtoto wakiume wa halali alikuwa mwaka wa mwisho chuo hapo UDSM Sasa hadi na Sasa ni mtoto wake ndio anaoa anamke na watoto wa 4 so endeleeni kujidanganya sana .
 
Amuoe nani?? Ameshaoa ni mtoto wake anaoa anawatoto wakubwa 2019 mtoto wakiume wa halali alikuwa mwaka wa mwisho chuo hapo UDSM Sasa hadi na Sasa ni mtoto wake ndio anaoa anamke na watoto wa 4 so endeleeni kujidanganya sana .
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kumbe mzee haswa.
Khaaa basi akili za uzee zimeshuka chini walah.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kumbe mzee haswa.
Khaaa basi akili za uzee zimeshuka chini walah.
Ila utaenjoy sana mwaya sana anahela kweli za kujitamba na danga ni mchagga nawapo kama waislam nenda kapangwe maana anajua kuleta kweli hukosi ka alphad, nyumba na pamba. Ukimpa katoto kamoja fine
 
Nishaaambiwa una wake saba sijui nane.
Huyo unataka kumuoa basi ataenda kuchunda.πŸ˜‚πŸ˜‚
Ha ha ha tatizo hizo habari mnazipata kutoka kwenye radio mbao πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ha ha ha tatizo hizo habari mnazipata kutoka kwenye radio mbao πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Aweeeeh usitutanie sie.
Huyo muolewaji jamani naomba apite hapa tumpe ushauri asije rudi hapa analia ety anifikishi kazeeka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…