Malipo baada ya kazi ujue. Siku hizi matapeli wengi mjiniSasa bure bure khaaa
Mnatuthaminisha kwa maandishi ama?Huwezi kujijua bila kuangalia katika kioo na kioo ni sie
Utakimbia na michango wewe πππHahaha me nitakuwa mhsibu
Michango yote ipitie kwangu
Malipo kabla.. ndo principle yangu ya kwanza...Malipo baada ya kazi ujue. Siku hizi matapeli wengi mjini
Wewe bahati yako ipo ni Nakadori tu!Wajichannganyeee wasiseme sijawambiaπ!!
Wanawake Wote ni wakaree humu !
Na unajua kwanini nitakimbia nayoUtakimbia na michango wewe πππ
Safi sana, kuoa muhimu sanaahsante mkuu ikiisha ya kwako inafuata yangu.
Kuna muziki zamani tulikuwa tunaucheza kwa kusukuma miguu uliitwa "... naota naota nadanganywa ahha..." ulishausikia katika zilipendwa?Malipo kabla.. ndo principle yangu ya kwanza...
Uone kama binti hatatubu
Wewe acha kutuweka roho juujuu mwisho tupate hypertension buree wenye H zetuBaada ya masaa 72 nitamtaja
Wala hujakosea... huu uzi upo kisharishari sana! πππHuu uzi natabiri hautaisha salama
Ngoja niingie utube nkaskilize story flan hivi ntarudi kuchungulia badae
Subiri kwanza ntakutonyaKumbe mko na mission yenu nahuyo Mwamba na hunambii shosti??ππ!
Consultations hukufanyaUnasemaje? Hapo sjakusoma
Hahahahahahahahahah me nacheka tuuuuWala hujakosea... huu uzi upo kisharishari sana! πππ
Nakadorii Nakugawaa walaiii kumbe uko kitengo maalum?πππ!!Malipo kabla.. ndo principle yangu ya kwanza...
Uone kama binti hatatubu
Sikufanya kwakuwa hapakuwa na motishaConsultations hukufanya
Hahahah usinigawe kwakweli huko unakonigawa hawatanitendea hakiNakadorii Nakugawaa walaiii kumbe uko kitengo maalum?πππ!!