Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #121
Asante mkuuKila la kheri Mwamba.
Shangaa Nawewe vigori wote hawa waliojaa jamani !!Kweli watu wanapenda mashangaziππ yani hawana mipaka ya kutongoza..
πππPambanaNaanza kuisikia ile song ya chege na almasi "waache waoane" inaimba kwa mind yangu πππ
π€£π€£kwa hiyo Equation x akikupa iphone bas tena dahWewe ushaninyima iphone 12
Kweli mkuuSafi sana, kuoa muhimu sana
Mashangazi kweli watamu hawana vipanga vya hela π€£Shangaa Nawewe vigori wote hawa waliojaa jamani !!
ππππnabeba na begi langu naendaπ€£π€£kwa hiyo Equation x akikupa iphone bas tena dah
Baki hapa hapa usitoroke πππHahahaa! Sawa Mkuu. πππ
Kwa kweli kuna haja ya kununua tu hiyo iphoneπππππnabeba na begi langu naenda
Kuna mwanamke mmoja ameolewa na waume watatuUmechelewa Mkuu.
Eeh baba rangi ileileKwa kweli kuna haja ya kununua tu hiyo iphoneπ
Usihofu mkuu, kuna mwanamke mmoja ameolewa na waume watatusamahani Equation x usije mtongoz Amehlo kwani she is already taken.
ha ha ha kujihami muhimuMpaka kifo kitutenganishe mkuu sheendwaaa!!
Anataka kutunyima fursa mkuuKunitongoza hawezi ππ
Ila am taken where kwani mbona sina taarifa
Jitafutieni matatizo tu!! Msiseme sijawaambia!Mashangazi kweli watamu hawana vipanga vya hela π€£
πππwakati ye ameshindwa ninunulia iphone ππAnataka kutunyima fursa mkuu
Mwanaume kula mihogo, mpenzi wako apendeze ππππ€£π€£kwa hiyo Equation x akikupa iphone bas tena dah