Nataka kununua kiwanja, ila kwanini viwanja vya Chanika ni bei rahisi hivyo?

Nataka kununua kiwanja, ila kwanini viwanja vya Chanika ni bei rahisi hivyo?

Unapoenda kununua 20*20 tena kwa miguu na vijibarabara vya mita 5 ..mkuu nasikitika kukuambia hicho ndicho unachokitafuta eneo lenye msongamano.. na litakuja kusongamana nguvu zishaisha na huna tena uwezo wa kuanza moja mahali kwingine.

Ardhi ni utajiri/mali. Wekeza kwa akili. Tafuta washauri consultant session ya dk 25-45 ni elfu 30000 tu uliza maswali yote muhimu, na atakusaidia kufanya preliminary checks kuhakikisha hauingizwi mkenge kwa kuuziwa maeneo ya wazi au yenye matumizi mengine ya umma auaeneo yaliyovamiwa yenye upimaji.

Ukitaka kwenda site kufanya full analysis na kukushauri juu ya bei sahihi inayoendana na thamani.. inalipa kuanzia sh. 200,000/- site visits inclusive.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ndio mkuu, nimesema 20 x 20 sina mpango nao, angalau iwe sqm 800. hao consultant kuwapata ndio sijui,ila kuna jamaa alishauri kabla ya kunuua niende kwanza klwenye ofisi za serikali ya mitaa ku confirm kuhusu hilo eneo, sijui kama hii inasaidia kiasi gani , maana hata hizi serikali huwa zinabadilika

Nikikosa maeneo yenyebhuduma na intaneti nzuri kwa baei ya milioni 10 itabidi ninunue tu vya huko porini kisha nianze kujenga mdogo mdogo hadi huduma muhimu zikifikia basi nihamie
 
Ushauri nenda chamazi kumejengeka vizuri na viwanja bei rahisi.. na maji unajichimbia tu
aisee chanika na Chamazi kuna viwanja na nyumba za bei rahisi sana hadi kunanipa wasiwasi, yaani nyumba imekamilika kabisa inauzwa milioni 20, nataka kujua kwa nini ni bei rahisi kuliko kwingine kabla sijanunua
Ushauri nenda chamazi kumejengeka vizuri na viwanja bei rahisi.. na maji unajichimbia tu
 
Wakuu nimejipanga na bajeti ya milioni 5 hadi 8 kwa ajili ya kununua kiwanja, maeneo ya DSM au Pwani kulingana na upatikanaji utakavyokuwa, bahati nzuri mimi nafanyia kazi nyumbani so hata eneo likiwa nje ya mji halitaniletea shida endapo litakuwa na intaneti

Baada ya kufanya uatafiti wangu nimeona maeno yenye viwanja vya angalau sqm 800 ni maeneo ya Kigamboni, ambapo unaweza kupata eneo la kujenga nyumba nzuri na uwanja ukbaki

Sasa kilichjonishangaza ni maeneo ya Chanika kuwa na viwanja na nyumba za bei chee sana tena maeneo yenye watu wengi tu, hi;li ni kwa nini?

Pia naomba kujua ni taratibu gani za kufuatwa ili kuepeukana na matapeli
Shekh fanya nikakupe plot yangu ya acre 1,chanika-kitanga 7.5M kama zawadi ya Ramadhani.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Ndio mkuu, nimesema 20 x 20 sina mpango nao, angalau iwe sqm 800. hao consultant kuwapata ndio sijui,ila kuna jamaa alishauri kabla ya kunuua niende kwanza klwenye ofisi za serikali ya mitaa ku confirm kuhusu hilo eneo, sijui kama hii inasaidia kiasi gani , maana hata hizi serikali huwa zinabadilika

Nikikosa maeneo yenyebhuduma na intaneti nzuri kwa baei ya milioni 10 itabidi ninunue tu vya huko porini kisha nianze kujenga mdogo mdogo hadi huduma muhimu zikifikia basi nihamie
Nitafute DM

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom