Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣Naona mleta mada anavyochangamkiwa kama mpira wa corner[emoji3]. asipokuwa makini inakula kwake mapema tu
Njoo ununue Dodoma pagale ninalo Nzuguni namba yangu ni 0767358936.Jina ndo hilo juu.Wakuu nimejipanga na bajeti ya milioni 5 hadi 8 kwa ajili ya kununua kiwanja, maeneo ya DSM au Pwani kulingana na upatikanaji utakavyokuwa, bahati nzuri mimi nafanyia kazi nyumbani so hata eneo likiwa nje ya mji halitaniletea shida endapo litakuwa na intaneti
Baada ya kufanya uatafiti wangu nimeona maeno yenye viwanja vya angalau sqm 800 ni maeneo ya Kigamboni, ambapo unaweza kupata eneo la kujenga nyumba nzuri na uwanja ukbaki
Sasa kilichjonishangaza ni maeneo ya Chanika kuwa na viwanja na nyumba za bei chee sana tena maeneo yenye watu wengi tu, hi;li ni kwa nini?
Pia naomba kujua ni taratibu gani za kufuatwa ili kuepeukana na matapeli
Weka picha mkuuNjoo ununue Dodoma pagale ninalo Nzuguni namba yangu ni 0767358936.Jina ndo hweka picha
Mkuu picha ngoja nimwambie mwanangu,enzi zetu computer tulijua ni video!Weka picha mkuu
sina mpano w kuhamia Dodoma mkuuNjoo nunue Dodoma pagale ninalo Nzuguni namba yangu ni 0767358936.Jina ndo hilo juu.
Akanunue kiwanja tuu,asiguse nyumba za jenga uza atapata depression.Ushauri nenda chamazi kumejengeka vizuri na viwanja bei rahisi.. na maji unajichimbia tu
Hizo nyumba za Chamazi na Chanika usiziguse kabisa, hizo ukuta biscuit,kenchi rangi,plasta mpaka vyoo wanaweka futi tano au pipa kabisa.aisee chanika na Chamazi kuna viwanja na nyumba za bei rahisi sana hadi kunanipa wasiwasi, yaani nyumba imekamilika kabisa inauzwa milioni 20, nataka kujua kwa nini ni bei rahisi kuliko kwingine kabla sijanunua
Hivi wale walioenda kununua Viwanja Chato wana hali gani sasa hivi?Njoo chato
Nna dalali ambae ndio alienitafutia Mimi kiwanja maeneo ya mapinga, ukiwa tayari ntakuunganisha nae kaka,,kule kuzuri ,upate tu mtu muhaminifundio mkuu, kiwanja cha sqm 400 kidogo sana, nipe connection na wauzaji wa huko kama unao
okNna dalali ambae ndio alienitafutia Mimi kiwanja maeneo ya mapinga, ukiwa tayari ntakuunganisha nae kaka,,kule kuzuri ,upate tu mtu muhaminifu
Nunua Simu tuu😀😀😀Mi Nina milio1 napata wapi kiwanja
Huko viwanja bei ganchukua kibamba au kibaha,barabara imetanuliwa ,ukitaka kwenda town dakika 0.sio uswahilini,hewa safi
Mkuu hapo ni kigamboni au MkurangaKaka karibu kigambon mwembe mdogo kiwanja mita 35*35 mil 5.5 na pia ukihiitaji heka unapata View attachment 1756925