Malaika wa Waha
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 319
- 885
Kwa upande wangu wazazi wenzangu niliokutana nao hatukua tunaendana tabia,magomvi na mitazamo juu ya maisha haikua sawa ,isitoshe suala la utiifu na heshima halikuwepo, mwanamke wangu wa mwisho huyu hakua anafatisha maelekezo yangu,mm kama mmewe.kwa upande wake yy alitelekezwa na aliyekua baba watoto wake.
Achana naye.Je,ni maswala gani ya msingi nihakikishe nayazingatia kabla ya kuingia kwenye ndoa ya namna hii,ndio kwanza tuna miezi mitatu ya mahusiano hatujafunga ndoa,mm nayy sotena miaka 32.sote wakristo.ushauri wenu unahitajika hapa.
Nimekua na mahusiano mengi ila najikuta kwahuyu dada kama niko SEHEMU salama hasa maswala ya heshima na utii aidha namaswala ya fedha pia,emekua mshauri mzuri hata katika maadili naona yuko vizuri.
Naona wanangu wakiwa na mamawakambo aliye mtiifu na mnyenyekevu.pamoja na changamoto zote na maoni kua tofauti tofauti ila bado najikuta kwahuyu single Maza au ndio kurogwa kwenyewe wakuu.
Asante sana kakaHamna shida wala nn although tu my ex yf wanajuana and wamefollow to each other huko instagram basi vijembe but nilizuia ilo bahati mbya uf akapoteza account yake ya zamani ambayo walikua wamefollow to each she has new accounr nashukuru hawajafuatana ila meweeza kuzuia hilo hua napata tabu kidgo maneno maneno lakin am strong man nazuia hilo ili lisiwa affect watt uzuri tunalea mtt tuliezaa tu hawa wengine kila mtu anakaa kwa bibi yake what we do tuna provide needs zao although sichangiii asilimia 90% ya small isssue as foster father manake baba wa mtt wa my yf right now yupo na yeye ana familia yake so i think anatimiza majukumu yake as a father wote tunaheshimiana so sijawah ingia kwnye mgogoro kiivyo ukileta hisia snaa utaishi kwa shida mno. km ww una the same story km u need to wake up uwe strong usokubali kuwa lege lege weka mipaka uta win
Baba wa watoto wa huyo dada wanasema hivohivp nao kuwa utiufu hamna ila kama ww unaona ni mwanaume unaweza toboa wanaume wenzako walipoferi ayaaaKwa upande wangu wazazi wenzangu niliokutana nao hatukua tunaendana tabia,magomvi na mitazamo juu ya maisha haikua sawa ,isitoshe suala la utiifu na heshima halikuwepo, mwanamke wangu wa mwisho huyu hakua anafatisha maelekezo yangu,mm kama mmewe.kwa upande wake yy alitelekezwa na aliyekua baba watoto wake.
Hata huyu naona kama tu utamuacha, anyways!Kwa upande wangu wazazi wenzangu niliokutana nao hatukua tunaendana tabia,magomvi na mitazamo juu ya maisha haikua sawa ,isitoshe suala la utiifu na heshima halikuwepo, mwanamke wangu wa mwisho huyu hakua anafatisha maelekezo yangu,mm kama mmewe.kwa upande wake yy alitelekezwa na aliyekua baba watoto wake.
Madini haya hapa..Tuanzie hapo kwenye watoto wawili kila mmoja. Single mother na single father ni tofauti kidogo. Mwanaume ndie anabeba gharama za malezi ya watoto kwaiyo mwanamke akija kwako hata akikukuta tayari una watoto hataingia gharama za malezi lakini akija kwako na watoto wake maana yake wewe utaongezewa gharama za malezi ya watoto wake pia, upo tayari kulea hao watoto wote wanne bila kuwabagua mahitaji yao kuanzia shule, matibabu n.k?
Tuje kwenye muda wa mahusiano yenu, miezi mitatu ni michache sana kumfanyia surveillance mwanamke kwa lengo la kumuoa.
Kuna dhiaka ndogo ndogo za walimwengu na mateso ya kisaikolojia utayapata kuishi na mwanamke ambae anakuja kwenye mji wako na watoto wake, ndio maana hata wewe mwenyewe akili inasita ndio maana umekuja hapa kuandika uzi kujiridhisha, swali ni je utaweza kuishi na haya mateso ya kisaikolojia siku zote za ndoa yenu?
Uyo mwanamke yupo kwenye declining phase ya ubora wake, vigezo vya umri na usingle mother vinamuhukumu kwenye soko la mahusiano, karata pekee aliyobakiwa nayo ni kuwa wife material(hata kwa kuigiza). Huo mwenendo wake ambao so far umekuridhisha una uhakika ndio tabia zake au pretend tu? Katika hiki kipengere nakushauri ufatilie pia na past yake
Elezea vizuri mkuuMimi na my partner wote tuna watoto watatu,kila mmoja from her/his past failed marriage.
Ana mji wake na nina mji wangu.
Watoto wetu wa kwanza na wa pili ni wakubwa,kiasi most of their times hawakai nyumbani!
Wa mwisho kwetu sote ndo home full time.
Tumekubaliana kila mmoja kubakia kwake, kila mmoja kuwasogeza watoto wale wakubwa mpk wajitegemee fully.
Kisha huko mbele hawa wadogo wawili tutachanganya kuwalea pamoja.
Ambapo tutaacha miji yote miwili, tutakuwa tumeshaestablish mji mwingine, ambao tutaishi na hawa wadogo mpk watakapokua na kutuacha hapo.
Ile miji miwili tunayoishi sasa, itabaki kwa umiliki wa watoto wetu watatu wa kwanza, respectively
Huu mji mwingine, utakuwa kwa ajili yetu sisi, hatuongezi watoto wengine.
Mungu bariki tutaishi hapo mpk Mungu atakapotuchukua, na huo mji wa tatu utakuwa a shared property kwa wajukuu wataotokana na watoto wote 6.
For the time being, tunaishi as a SINGLE MOM and SINGLE DAD ambao are not SINGLEs
Najua sio arrangement rahisi kwa wengi, ukiweza itumie.
Kipi hujaelewa Mkuu?Elezea vizuri mkuu