Nataka kuuza nyumba, viwanja, gari na vitu vyote vya ndani nirudi bara kuanza upya kutoka Zanzibar

Wewe ni :

mjinga


1.mtu asiyejua kitu au jambo fulani


2.tamko la dharau au tusi kwa anayechukuliwa kutojua kitu


Nb: Njia za kumiliki ardhi zimerahisishwa sana!
Unaweza kuonyesha Ujinga wangu uko wapi?

Kwa sheria ya Sheria ya Kamisheni ya Ardhi namba 6 ya mwaka 2015,
na Sera ya Taifa Ya Ardhi Zanzibar ya mwaka 2008 na marekebisho yake mwaka 2018,

Sheria ya Umiliki wa Ardhi Nam. 12 ya 1992;

Sheria ya Baraza la Ardhi Nam. 7 ya mwaka 1994,

umezisoma?
MTanganyika (Tanzania Bara) Haruhusiwi kumiliki Ardhi Zanzibar na atamiliki kwa kufata Taratibu kama Mwekezaji anavyofanya yaani kama Mzungu au mtu mwingine
 
Nimepita Zanzibar itoshe kusema tu huko mahotelini Kuna pesa sana, Kuna jamaa mmoja muhindi allifungua clinic ndani ya hotel flani anawalipisha Wazungu Dollar 100 kama consultation fee hata kama mzungu ana mafua hapo bado dawa kiufupi yule kabachori alikuwa anavuna sana pesa.
 
Itabidi nirudi nikapige mishe huko
 
Wewe ni :

chizi

1.mtu afanyaye mambo ya kihunihuni


2.mtu mwenye wazimu au mwenye akili kidogo
mm ni chizi ila ww ni punguani yan mnajifanya wajuaj sana ktk maisha ya watu jitathmin,yan ulicoment km mchawi alietoka kuwanga inaonyesha ni jins gn unaroho ya makasiriko kwa mamb yasiyo na ulazima,

Mchiz kaomba ushaur kitu ipo wazi ww unaanza kumuuliza maswal ya kimandazi
 
Uza kiwanja nunua bajaji 3 huku Dar. Wape vijana kwa Siku elfu 20 bajaji moja. Utaishi vizuri tu
 
MTanganyika (Tanzania Bara) Haruhusiwi kumiliki Ardhi Zanzibar na atamiliki kwa kufata Taratibu kama Mwekezaji anavyofanya yaani kama Mzungu au mtu mwingine
Katika kitu ambacho kimefichwa kwa ajili ya kuboresha muungano wetu ni hiki:

unwritten law : law based chiefly on custom rather than legislative enactments​


wewe njoo na NIDA kama hupati ardhi hapa Zanzibar!
 
Nawachukia mno wazanzibari.

Huu muungano wanaoung'ang'ania wana faida nao ila sisi wananchi wa kawaida hatuutaki hata kuusikia.
 
Wazo zuri
 
Mkuu bajaji ni bei gani kwa Dar mpya?
Mkuu naona kama homesick inakusumbua umepakumbuka sana nyumbani si ndiyo?

Ushauri wangu fanya yote ila usije kuthubutu kuuza hio nyumba coz nyumba zanzibar zina thamani sana kutokana na ufinyu wa ardhi

Ni bora ukakomaa na hyo gari huku unaangalia upepo unavuma vipi! Kurudi huku bara halafu mambo yakuharibikie hata hao ndugu zako unaowasaidia watakukimbia
 
Lazma alitumia Njia za panya..
Kuna Njia moja unakula Njama na sheha anakuandikia kama unaishi maeneo hayo na mzawa wa hapo
Hio sheria ni kweli ipo.ila haipo.enforced ndio maana wapo wabongo wengi wanamiliki Ardhi Zanzibar , nina wadau wangu Tanga nimekuwa nao wanaishi Zanzibar na wamejenga kabisa.
 
Hio sheria ni kweli ipo.ila haipo.enforced ndio maana wapo wabongo wengi wanamiliki Ardhi Zanzibar , nina wadau wangu Tanga nimekuwa nao wanaishi Zanzibar na wamejenga kabisa.
Tanga na Zanzibar Ni kama Kitu kimoja..
Mimi Mzaliwa wa Zanzibar na Nimekulia Tanga..
Nilihamia Tanga mwaka 1987..

Wengi wa Tanga Sana sana Pangani wanajiita wazanzibar..
Na zanzibar Mara Nyingi wanadai Tanga iko.kwao na Bagamoyo...

Watu wa Tanga Wengi Nikiwemo Mimi Tuna familia Huko zenji na ndugu pia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…