Nataka kuuza nyumba, viwanja, gari na vitu vyote vya ndani nirudi bara kuanza upya kutoka Zanzibar

Nataka kuuza nyumba, viwanja, gari na vitu vyote vya ndani nirudi bara kuanza upya kutoka Zanzibar

Vipi, kuhusu wewe, hukuwafanyia wenzako fitina wakati bado upo na bosi kazi aliyekupenda?? Je, wewe ni malaika??

Haya bado ni maelezo ya upande mmoja, tunaita majungu na fitina! Yaani unataka uonewe huruma na jamii hata kama umekosea! Umeingiza mpaka udini!

Sasa hapa unamlaumu nani? Ulitegemea taasisi isingefahamu?? Halafu inaonekana kama ulianza kuvimba a.k.a kuonyesha majivuno, kiburi na dharau!
yan kuna watu mnajifnya mnajua sana maisha ya watu yan umejibu km kwa makasiriko kwa jamaa yan inaonyesha unaliroho la uwivu ndan yako
 
Hongera Ana kwa kuweza kupata kiwango kikubwa Cha pesa tulia kwanza nyumba uza baada ya miaka kumi mbel kwasas uza kiwanja njoo tafuta kibiashara fanya fungua ka hdw kigamboni

Kama unatak ushauri Zaid njoo dm
 
Hongera Ana kwa kuweza kupata kiwango kikubwa Cha pesa tulia kwanza nyumba uza baada ya miaka kumi mbel kwasas uza kiwanja njoo tafuta kibiashara fanya fungua ka hdw kigamboni

Kama unatak ushauri Zaid njoo dm
Sawa mkuu nitakupm haina shda
 
Kwa Hili Umedanganya Mkuu Kununua Kiwanja zanzibar Mtanganyika Ni vigumu sana...

Na Mzungu ananunua Kiwanja kama Mwekezaji na sio Kama Raia..
Na hata Mtanganyika anauziwa kiwanja kama Mwekezaji..
Nimeishi zenji mkuu so Niambie Ulinunuaje
Napaswa kujieleza kwako 🥹, kwani si ushaconclude kwamba similiki ardhi namm nmesema sawa kumbe hatukumaliza mkuu 😀
 
15m nyumba ,Tandika ipi hyo? Fanya utafiti vzur, me nakushauri , kodisha hyo nyumba uanze na biashara ndogo ndogo kikubwa inabidi ukubali maisha ya chini ukijipanga.
 
Back
Top Bottom