DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Kwa Hili Umedanganya Mkuu Kununua Kiwanja zanzibar Mtanganyika Ni vigumu sana...Wananunua ardhi wazungu itakuwa mm Mtanganyika
Na Mzungu ananunua Kiwanja kama Mwekezaji na sio Kama Raia..
Na hata Mtanganyika anauziwa kiwanja kama Mwekezaji..
Nimeishi zenji mkuu so Niambie Ulinunuaje