Nataka kuwa main-check nimechoka kuwa side check wa mtu nipeni mbinu

Hayo tayari achana nayo labda jamaa mwenyewe aache huko aliko aje kwako.

Maana mpindua naye hupinduliwa 😅 Mapenzi ya kuforce magumu sana. Relax tu usiyatafute mahusiano yatakuja tu.

Main-Check na Side-Check 🤔
 
Kwa hiyo umekubali kuwa wewe ni malaya?

Must ndio wapi?

Ndugu usiniite mimi malaya maana hatujuani si una ndugu zako wewe kwanini usiende kuwaita malaya

Wakati mwinginee ukiendelea kuleta kejeli kwenye uzi wangu nitakujibu shit tuanze kuchukiana humu na hatufahamiani…

Andika uzi wako Halafu utoe hizo shit yaani Leo sina mood ya kumjibu mtu vibaya maana unachofanya hapa ni kunichokonoa nikasirike tutukanane… hivi nikaja kwenye uzi wako nikaanza kukoment wewe ni shoga utajisikia vizuri

So acha maneno ya kukera watu ambao huwafahamu yaani unachart na mtu huna huakika Kama ni wa kike o kiume..
Najua una hasira na wanawake ila mambo yetu tuachie sisi

Halafu usibadilishe dhima ya uzi wangu
 
Hayo tayari achana nayo labda jamaa mwenyewe aache huko aliko aje kwako.

Maana mpindua naye hupinduliwa [emoji28] Mapenzi ya kuforce magumu sana. Relax tu usiyatafute mahusiano yatakuja tu.

Kwaiyo nimuache sasa kila mtu mbona ana mahusiano
 
Kwaiyo nimuache sasa kila mtu mbona ana mahusiano
Sema unaokutana nao wewe ndio wanamahusiano. wapo ambao wapo single na wao wanaona kila mtu anamahusiano kumbe wengine mmeingilia ya watu 😂
 
Malaya sio tusi ni tabia hivyo usikasilike kama huna tabia za kimalayaaa alafu kama unataka Kua mainchik simple tafuta mwanaume ambaye hana kitu kabisa ukaaze naye kutafuta pesa na maisha ila kwa hawa ambao wamaokoto ni ngumu cos washajipata kimaisha hivyoo wanatafuta malaya wa kuspend nao tu........
 

Huyo ambae hana kitu namtoa wapi… au nikamtongoze mimi
Wanaume wenyewe siku hizi waoga wakiona umesuka umependeza wanakuona wa ghali

Kuna mmoja alinambia yeye hawezi kuoa mwanamke msomi na mzuri ni Heri akoe singomaza… kwamba wanawake wa hivyo watamsumbua
 
Unavyoandika tu unaonekana mapepe hakuna mwanaume anaependa mwanamke mapepe , usipoacha mapepe kila mtu atakufanya masturbation yake na siyo kuweka malengo kwako.
 
Unavyoandika tu unaonekana mapepe hakuna mwanaume anaependa mwanamke mapepe , usipoacha mapepe utaendlea kufanywa masturbation ya wahuni.

Ngoja niendelee kuku ignore [emoji706][emoji706]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…