balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Lakini ujumbe umeshaupata unastahili kupewa maneno magumu kama hayo maana unaonekana hujitambuiNgoja niendelee kuku ignore [emoji706][emoji706]
Kufanya mapenzi na mtu ambaye siyo mkeo ama mumeo ni mambo mawili tu
1.Uasherati kwa ambao hawajaolewa au kuoa.
2.Uzinzi kwa walio kwenye ndoa.
Umalaya ni kufanya tendo la kujamiiana ili ulipwe ujira.
Kwa mleta mada hajaongelea lolote katika hayo matatu,alichoongelea ni kupata mtu wakawa na mahusiano ya kudumu muda mrefu zaidi ya miezi michache kama yalivyomkuta.Mahusiano si lazima yahusishe kujamiiana na kujamiiana kukiwepo,bado si umalaya hadi kuwepo kuuziana na kununuliana mwili.Umalaya ni biashara ya kuuza huduma ya kujamiiana.
Lakini ujumbe umeshaupata unastahili kupewa maneno magumu kama hayo maana unaonekana hujitambui
Huyu "check" aachwe aendelee kuchezewa
AsanteHongera wewe kwa kujitambua
Asante mkuu maana Kuna watu wana makasiriko na uzi wangu Kama tunafahamiana
Wasamehe bure na wajibu kwa upoleAsante mkuu maana Kuna watu wana makasiriko na uzi wangu Kama tunafahamiana
itakuwa umlimnyima ududu huko pm[emoji23]Mbona wewe kila ukikoment kwenye uzi wangu unazungumzia malaya vipi kaka unanifahamu au unaleta makasiriko kwenye uzi wangu aisee kuwa mstaarabu kama huna cha kukoment usikoment vitu vya kuwakejeli wenzio
Nazani hujawai kuona nimekoment kwenye uzi wako so please leo ni j2 usifikiri kuwa na fake id ndio inakupa uhalali wa kutukana watu
She is so skandalous...Kama mwenyewe unajiita 'CHECK' nadhani unamaanisha 'CHICK' basi huna la maana utachezewa na majogoo tu wewe kifaranga.
Ukaimba😂😂😂Ni main chick 🐥
Girl I know you wanna be my main chick, my main chick
Sawa side chickNdugu usiniite mimi malaya maana hatujuani si una ndugu zako wewe kwanini usiende kuwaita malaya
Wakati mwinginee ukiendelea kuleta kejeli kwenye uzi wangu nitakujibu shit tuanze kuchukiana humu na hatufahamiani…
Andika uzi wako Halafu utoe hizo shit yaani Leo sina mood ya kumjibu mtu vibaya maana unachofanya hapa ni kunichokonoa nikasirike tutukanane… hivi nikaja kwenye uzi wako nikaanza kukoment wewe ni shoga utajisikia vizuri
So acha maneno ya kukera watu ambao huwafahamu yaani unachart na mtu huna huakika Kama ni wa kike o kiume..
Najua una hasira na wanawake ila mambo yetu tuachie sisi
Halafu usibadilishe dhima ya uzi wangu
Unaweza;Wakuu habari za weekend
Mimi nina changamoto ya mahusiano kwanza sijawahi kuwa na mahusiano ya kudumu yaani yatoboe mwaka sijawahi mengi ni muda mfupi sana yaani mpaka nawaone wivu wale wenye wapenzi wao wametoka mbali unakuta mtu anakusimulia yaani sisi hivi hivi hapo wana miaka hata 4 najisikiaga vibaya sina mtu nilietoka nae mbali
Sasa ndugu zangu unajua kwanini sikai muda mrefu na mahusiano ni kwasababu kila mahusiano nayoingia najikuta mimi ndio side chick, unakuta mwanaume ana mahusiano yake serious mimi ananifanya mchepuko nikishagundua hilo ndio huwa navunja mahusiano
Yaani nimechoka kila husiano naloanzisha unakuta tayari mwanaume ana mtu wake huko wa zamani mimi ndio kama nimevamia penzi la watu, hii kitu huwa inaniuma unaogopa hata kuharibu maana unakuta ameshazaa na binti au ana ujauzito au wanaishi wote ( hapa sizungumzii wanaume waliooa) nazungumzia wanaume tu ambao wapo na mahusiano serious
Kwasasa nimepata mtu ila na yeye nimegundua ana mahusiano yake serious japo sijamwambia… mahusiano yana mwezi mmoja tu,, sasa wakuu hili husiano nataka liwe la mwisho huyu mtu nataka nimng’ang’anie ikiwezekana penzi lake livunjike libaki kwangu
Wakuu nimechoka kuanza mahusiano mapya, huyu mtu hajaoa ila ana husiano seriously nataka nifanye mapinduzi
Wanaume kwa wanawake naombeni mbinu za kutumia ili niwe main check
Ndivyo ilivyo, na wenyewe wanajijua kuwa kwa style hii nimekuwa wa kuliwa na kuachwa. Idk how they feel ila kwa mwanamke mwenye kujitambua it's a bad feeling, kuvua kwa mtu mpya every now and then sio sawa kwa mwanamke anayenitambua.Hakuna mwanaume ambaye anataka afanye maisha na malaya
Nyinyi malaya ni wa kupiga hit and run
Hatari Mkuu 😅Mmmmmh tuseme mahusiano ni magumu tu
Sasa kama ushauri huu unaona mgumu kwako then haupo serious na uzi wako huu kuna ushauri gani mwengine utapewa zaidi ya kuambiwa kiwa Submissive kwa huyo mwanaume.Daah ngoja nianze sema ngumu aisee haswa kwa kuwa nimejua ana mtu so hiyo kuigiza inaweza nishinda what if nikapoteza muda wangu hapo na wasiachane
Pambana bwanNataka nipindue meza