Nataka kuweka rekodi ya kipekee ya kuwa mtanzania wa kwanza kula nyama choma kwa mchoma nyama maarufu duniani mturuki Salt Bae.
Hii ni fursa ya kipekee ya kuitangaza taifa letu kimataifa. Nataka kuungana na watu maarufu duniani ambao walipata hii fursa ya kipekee na adim kula nyama choma kutoka kwa huyu mturuki mwenye mbwembwe ya aiana yake akiwemo Hushpuppi.
NAAM MIMI NI MTU KATI YA WATU WALIOISHI NA WATU NA WALIOONA WATU.
Hii ni fursa ya kipekee ya kuitangaza taifa letu kimataifa. Nataka kuungana na watu maarufu duniani ambao walipata hii fursa ya kipekee na adim kula nyama choma kutoka kwa huyu mturuki mwenye mbwembwe ya aiana yake akiwemo Hushpuppi.
NAAM MIMI NI MTU KATI YA WATU WALIOISHI NA WATU NA WALIOONA WATU.