"Nataka Mume mzungu mwenye pesa" - Rose Muhando

Makosa ya kiuandishi n mwanamke
age hiyo hapo anataka kula bata tu kwa sababu hata huyo mume atayempata itakuwa naye ana watoto hana mpango wa kuzaa tena
Katika umri huo hata Hana utelezi katika uke wake. Ni rahisi kupata michubuko
 
Niemsikia leo radio citizen, Kumbe huyu mama yuko serious bn! Tena anataka mume mzee
 
akitaka mchongo wa Muarabu acha anitafute connection ninazo
 
"Sio kila mzungu padri wengine wananyonya damu"
 
Mkizeeka muwe mnatulia ili kulea wajukuu sio kutaka kuolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…