Nataka nianze kunywa pombe bia gani ni nzuri ya kujifunzia?

Pombe haijawahi mdhalilisha mtu mkuu Kama kichwa chako ni chepesi Kama karatasi usisingizie pombe.
Halafu kama kichwa ni chepesi nasingizia vipi pombe? Mbona huo wepesi usionekane kabla mtu hajanywa pombe?
 
Halafu kama kichwa ni chepesi nasingizia vipi pombe? Mbona huo wepesi usionekane kabla mtu hajanywa pombe?
Pombe inahitaji busara kabla yenye haijakutoa busara, pombe ni lazima unywe kwa muktadha mmoja tu uangalifu, sio kufakamia pombe mchanganyiko
 
Kilimanjaro ya baridi hainaga mpinzani
Safari lager pombe za wanaume kamili, inafuatwa na konyagi na k vant, then wisky [emoji1634], baada ya hizo zinakuja pombe nyingine za wakina dada
 
Usiogope kitu ambacho hujakionja, pombe ni rafiki mzuri sana ukinywa kwa tahadhari
Kuna Dada jirani na kwangu anazinywa aiseeeee, analewaa njwiiiii, hadi anafungiwa kwenye boda anarudishwa nyumbani.
Akisikia mkojo sasa hajali yupo wapi anashusha nguo anaumwagaa waaa. Ukimkuta hajanjwa ni mzuri sana ila akishakunywa ni balaa.
Halafu ana mume na watoto aisee, na huyu mume ndio alimfundisha pombe, sasa hivi anajuta.
 
Dahhhh mwanafunzi kaja kuwa mwalimu, pombe ukiipenda kwa adabu nayo itakupenda vivyo hivyo, kuna hile Hannah unakunywa mbili au tatu unaenda kulala, sio unakunywa safari, Kilimanjaro, banana, k vant hapo lazima umwage radhi
 
Pamoja sana mkuu.
 
Dahhhh mwanafunzi kaja kuwa mwalimu, pombe ukiipenda kwa adabu nayo itakupenda vivyo hivyo, kuna hile Hannah unakunywa mbili au tatu unaenda kulala, sio unakunywa safari, Kilimanjaro, banana, k vant hapo lazima umwage radhi
Na uwe na hela pia.
Ukosefu wa hela ndio unafanya watu wachanganye changanye ili kichwa kipate moto haraka.
Madhara mengine ya pombe kwa mtu asiye na hela ni kugeuka omba omba wa kununuliwa pombe. Huku ni kujidhalilisha pia.
 
Na uwe na hela pia.
Ukosefu wa hela ndio unafanya watu wachanganye changanye ili kichwa kipate moto haraka.
Madhara mengine ya pombe kwa mtu asiye na hela ni kugeuka omba omba wa kununuliwa pombe. Huku ni kujidhalilisha pia.
Pombe kama Hennessey its tsh 100000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…