Natakiwa kuwekewa vipandikizi kwenye uume, mirija ni miembamba haipitishi damu nyingi

Natakiwa kuwekewa vipandikizi kwenye uume, mirija ni miembamba haipitishi damu nyingi

Jaribu kutafuta dr bingwa mwingine. Siku zote jambo kubwa kama hilo usilitekeleza kwa kumsikiiza dr mmoja
Nafikiria kuwaona madaktar bingwa wangine wawili prof yongolo aliestaafu,Dr tosir pia nawamgine mnaweza nielekeza je nikshawaona wangine kunahaja yakuwaambia uko nilikopita namajibu yake
 
Ila nadhani tunapenda kukariri...kwanini msitumie mikono kufikishana? Dah ..ya ninj kujitesa..kwani lazjma kwenda 2nd round?.fanya romance muda mrefu tumia finger bwana wee .au basi
 
ukiishia round 1 unakua hujaridhika unahitaji zaidi mkuu?

tuanze na self satisfaction unajiskiaje? haya mahangaiko n kwa ajili yako binafsi

au kwa ajili ya mwenzio ambae yeye haridhiki na round 1,tuanzie hapo kwanza.
Comment nzito sana hii na imejaa weledi..ajibu hapa ..i cant aise
 
Comment nzito sana hii na imejaa weledi..ajibu hapa ..i cant aise
Mkuu nikiishia round yakwanza najiona sjaridhika sababu niround ya dk3 tu siwezi Tena alafu hiyo roud wakat mwingne nafeli uume ukiwa ukeni ama hata kabla ajaingiza...napia mwenza wangu hiyo Hali haridhiki simfikishi kwa dk3 anahitaji zaid angalau dk20 nazaid awe amefika mshindo hata mara2
 
Nafikiria kuwaona madaktar bingwa wangine wawili prof yongolo aliestaafu,Dr tosir pia nawamgine mnaweza nielekeza je nikshawaona wangine kunahaja yakuwaambia uko nilikopita namajibu yake
Basi utafanya vizuri sana. Siku zote jambo kama hili ni vizuri kupata ushauri wa mabingwa tofauti. Hao wengine wnaweza kuja na suluhisho jingine kabisa. Pia hata ulivyoulizia hapa ni vizuri kwani kuna watu wenye experince na mambo mengi.
 
Basi utafanya vizuri sana. Siku zote jambo kama hili ni vizuri kupata ushauri wa mabingwa tofauti. Hao wengine wnaweza kuja na suluhisho jingine kabisa. Pia hata ulivyoulizia hapa ni vizuri kwani kuna watu wenye experince na mambo mengi.
Yeah ndo maana nimekuja jukwaani kupata msaada wa mawazo na taarifa
 
Basi utafanya vizuri sana. Siku zote jambo kama hili ni vizuri kupata ushauri wa mabingwa tofauti. Hao wengine wnaweza kuja na suluhisho jingine kabisa. Pia hata ulivyoulizia hapa ni vizuri kwani kuna watu wenye experince na mambo mengi.
Hivi nikiwaona Hawa wangine Kuna haja yakuwaelezea nilikopita kote na majibu yalivokua au nijielezee tu wao watajua wanafanyaje
 
Basi utafanya vizuri sana. Siku zote jambo kama hili ni vizuri kupata ushauri wa mabingwa tofauti. Hao wengine wnaweza kuja na suluhisho jingine kabisa. Pia hata ulivyoulizia hapa ni vizuri kwani kuna watu wenye experince na mambo mengi.
Nimefanyiwa kipimo Iko Cha kujua mishipa ya uume kwakichomwa sindano2 katika uume usimame ili wapime kwa ultrasound mishipa ya uume
 
Hivi nikiwaona Hawa wangine Kuna haja yakuwaelezea nilikopita kote na majibu yalivokua au nijielezee tu wao watajua wanafanyaje
Ingekuwa ni mimi dr wa kwanza ningemweleza kuwa nimepitia kwa dr (bila kumtaja jina wala hospital) na akaniandikia vipimo hivi na kunipa ushauri huu. Halafu huyo mwingine nitamwambia tu nilimwelezea mtu wangu wa karibu akaniambia pengine inaweza kuwa ni tatizo fulani hivyo niende kucheki.
 
Imagine kwenye akili yako huna tatizo na vyote ulivyoambiwa vyakupandikiza unaviona viko sawa na hauna tatizo, tengeneza hii picture kwenye akili yako uwe unairudia rudia pale akili yako inapokiwa idle..

We're limited by our imagination.....
 
Imagine kwenye akili yako huna tatizo na vyote ulivyoambiwa vyakupandikiza unaviona viko sawa na hauna tatizo, tengeneza hii picture kwenye akili yako uwe unairudia rudia pale akili yako inapokiwa idle..

We're limited by our imagination.....
Ngoja nianze fanya hivo iwe utamaduni Kila siku
 
Back
Top Bottom