Natamani Israel apigwe hadi amrudie Mungu wake aliye hai JEHOVAH

Natamani Israel apigwe hadi amrudie Mungu wake aliye hai JEHOVAH

Mbona tayari alishapigwa na hezbollah 2006 hadi marekani kaenda kuomba ceasefire mkuu, idf walisema walikuwa wanapigana na ghosts
Weka data walikufa IDF wangapi na Hezbollah wangapi..
Na uharibifu wa mali na miundo mbinu kwa kila upande.???
 
Sijui itatokea lini, ila mimi natamani sana wayahudi wachapwe kichapo kitakatifu hadi wamtii Mungu wao aliyewatoa Misiri utumwani kwa ishara za ajabu yaani (JEHOVAH)

Ichi ambayo imekuwa na ukaribu na Mungu tangu kipindi cha Ibrahimu,

Ichi ambayo kipindi cha Musa, Mungu alifanya maajabu mengi kupitia mkono wa Musa na ili kwamba mataifa na dunia ijue kuwa kuna Mungu mwenye nguvu na si miungu...!

Haikutosha tu wayahudi kutolewa Misiri kuja kwenye nchi yao ya ahadi Kanaani, bali pia Mungu kwa kuona mbaali zaidi alimwambia Musa andike yote matendo makuu kwenye kitabu cha kumbukumbu na ili kizazi na kizazi kije kijifunze katika hayo!

Ajabu taifa hilo ndilo linabariki ushoga na kuwa ndiyo sehemu ya utamaduni wa kile ambacho Mungu aliwaonya wasijihusishe na uchafu wa aina yoyote kwenye nchi yao

Hivi, tunaposema tuwaombee hawa ambao wamekuwa waasi kwa Mungu, tunakuwa tunatumia kitabu kipi kinachoruhusu ujinga huo?

Hatuwezi kuishia tu kwamba, eti ndiyo hivyo ni Mungu alishawachagua na ndiye anayejua! Mungu huyo huyo aliyewafunikiza kwenye aridhi baada ya kujichongea ndama kama sanamu kuifanya ndio mungu wao, ndiye huyo huyo anayechukizwa na uchafu wowote kwa wateule wake

Ndugu zanguni Wakristo, Mungu aliagana tena na wanadamu kupitia Yesu na ambaye katika huyo, Dunia yote inapata masamaha ya dhambi na baraka zisizo na tofauti na kuondoa habari za hili eti ni taifa teule

Taifa Teule ni wewe uliyempokea Yesu na kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako, na kwa bahati mbaya, Wayahudi walimkataa huyu Yesu na wakaendelea kubakia na imani yao na hawana agano jipya mpaka sasa

Licha ya hivyo, Taifa hilo ambalo ndani yake ndio chanzo cha wokovu kwa Dunia yote, hata imani yao ya kulitunza agano la kale la Mungu limeshinda, sasa utaona mambo ambayo ni machukizo makubwa mbele ya Mungu wanayafanya

Wanajeshi wako vitani huku wakifunga ndoa za jinsia moja, je kunasababu yoyote kwa Mungu kuzuia kichapo kwa nchi ya aina hiyo?
Kawapige wewe mkuu.
Waislamu na maarabu wanaujua mziki wa wayahudi
 
Je ukiambiwa Hamas hawakuhusika na mauaji ya kinyama ya oktoba 7?haya mambo si ya kujadili hvhv.ni mazito sana
 
Mungu wao unamjua?amea
Mungu wa Abraham aliweka agano na Abraham. kwa hiyo Mungu ataendelea kuliheshimu hilo agano lake. Wanaweza wakapigwa kweli lakini Mungu atawakumbuka tu. Wale siyo wenzetu.
waliwahi kupigwa na nani?
 
Mungu yule yule aliyewaadhibu baada ya wao kutengeneza ndama ili waifanye kuwa mungu wao ndiye huyo huyo atakayewaadhibu baada ya kuwa taifa la kishoga!
Unachanganya vipindi katika maandiko.maandiko yanasema nini kuhusu Israel ya sasa katika unabii?kabla ya kiama?
 
Hawa waalioshindwa kuwapata mateka wao mpaka wameletewa mezani?,hao SI walipiga kiguu na njia km tele Uganda kufuata matekamossa

Mkuu, agano la Mungu kwa watu wote ni hili la Yesu Krsto na ndilo la mwisho na wayahudi wanapaswa kulifuata

Na ndiyo maana maombi yooye yanahitimishwa kupitia jina la Yesu na sio tena Mungu wa Yakobo

Mungu amekuwa Mungu wa wote wanaompokea Yesu Kristo tu

Wayahudi hata hivyo walimkataa
Wayahudi walimkataa?nyumba ya Yakobo au?
Kwani sisi na Mungu nani anampenda nwenzake?
Sisi hatujamkana?
Mungu kuichagua Israel ni mpango wa Wokovu kwetu sote.Yesu alipofanyika nwanadamu na akazaliwa na kuishi kama mwanadamu alikuja kama Myahudi naam na kupitia yeye tumepata wokovu.agano la Mungu kwa Israel ni la milele.kama wamemkataa watajua na Mungu wao.

Mungu ameahidi they will never be defeated.

Hakuna vita kati ya Israel na Hamas.vita ni kati ya Mikaeli na Lucifer kuelekea Harmagedon

Naam They will never be defeated

Soma Ezekiel 38
 
Ninakubaliana na wewe lakini maandiko yanasema tumepandikizwa tu wao bado shina lao liko imara halijakatwa kutokana na ahadi aliyopewa Abrahamu. Angalia hapa chini.

"Lakini kama baadhi ya matawi yamekatwa, na ninyi kama mizeituni mwitu mkapandwa katika shina, mkashiriki pamoja na matawi mengine chakula kutoka katika shina la mzeituni, 18 msi jivune mbele ya hayo matawi. Kama mkijisifu mkumbuke kuwa si ninyi mnaoshikilia shina, bali ni shina linalowashikilia ninyi. 19 Pengine mtasema, “Matawi yalikatwa ili nipate nafasi ya kupandikizwa katika shina.” 20 Hii ni kweli. Lakini kumbuka kuwa matawi hayo yalikatwa kwa sababu ya kutokuamini; na wewe umesimama imara kwa sababu ya imani. Kwa hiyo usijisifu, bali ujinyenyekeze na kuogopa. 21 Kwa maana kama Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, hatakuacha wewe, atakuondoa. 22 Tafakari basi kuhusu wema na ukali wa Mungu.
Hongera mkuu.
 
Weka data walikufa IDF wangapi na Hezbollah wangapi..
Na uharibifu wa mali na miundo mbinu kwa kila upande.?
Haya myahudi wa mbagala soma hiyo part ya report kutoka library ya jeshi la marekani ukitaka full report nenda kasome inaitwa WE WERE CAUGHT UNPREPARED muwe mnasoma vitu kama hivi sio porojo za kijiweni mlizoaminishwa
 

Attachments

  • Screenshot_20231018-192318_Drive.jpg
    Screenshot_20231018-192318_Drive.jpg
    95.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20231018-192425_Drive.jpg
    Screenshot_20231018-192425_Drive.jpg
    32.5 KB · Views: 3
Hamas wamekusikia mkuu na wanalifanyia kazi ilo
Hawana lolote.Iran ndio mfadhili wao.yuko wapi Iran?
Utumwa wa kifikra huu,,, shoga wa kizayuni kakuzidi nini mpaka useme wewe sio mwenzio, au yeye anakunya almasi? Acha ubwege wewe!, alafu hao wenzenu wala hawana habari na nyinyi Zaidi ya nyie kuleta shobo kwao, jinga kabisa.
wewe ni mtumwa namba moja na unaumwa.ukishasikia mtu anawsita wayahudi Zionists ujue ni mtumwa.umepandikiziwa fikra na mashehe wa darasa la 7
 
Sijui itatokea lini, ila mimi natamani sana wayahudi wachapwe kichapo kitakatifu hadi wamtii Mungu wao aliyewatoa Misiri utumwani kwa ishara za ajabu yaani (JEHOVAH)

Ichi ambayo imekuwa na ukaribu na Mungu tangu kipindi cha Ibrahimu,

Ichi ambayo kipindi cha Musa, Mungu alifanya maajabu mengi kupitia mkono wa Musa na ili kwamba mataifa na dunia ijue kuwa kuna Mungu mwenye nguvu na si miungu...!

Haikutosha tu wayahudi kutolewa Misiri kuja kwenye nchi yao ya ahadi Kanaani, bali pia Mungu kwa kuona mbaali zaidi alimwambia Musa andike yote matendo makuu kwenye kitabu cha kumbukumbu na ili kizazi na kizazi kije kijifunze katika hayo!

Ajabu taifa hilo ndilo linabariki ushoga na kuwa ndiyo sehemu ya utamaduni wa kile ambacho Mungu aliwaonya wasijihusishe na uchafu wa aina yoyote kwenye nchi yao

Hivi, tunaposema tuwaombee hawa ambao wamekuwa waasi kwa Mungu, tunakuwa tunatumia kitabu kipi kinachoruhusu ujinga huo?

Hatuwezi kuishia tu kwamba, eti ndiyo hivyo ni Mungu alishawachagua na ndiye anayejua! Mungu huyo huyo aliyewafunikiza kwenye aridhi baada ya kujichongea ndama kama sanamu kuifanya ndio mungu wao, ndiye huyo huyo anayechukizwa na uchafu wowote kwa wateule wake

Ndugu zanguni Wakristo, Mungu aliagana tena na wanadamu kupitia Yesu na ambaye katika huyo, Dunia yote inapata masamaha ya dhambi na baraka zisizo na tofauti na kuondoa habari za hili eti ni taifa teule

Taifa Teule ni wewe uliyempokea Yesu na kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako, na kwa bahati mbaya, Wayahudi walimkataa huyu Yesu na wakaendelea kubakia na imani yao na hawana agano jipya mpaka sasa

Licha ya hivyo, Taifa hilo ambalo ndani yake ndio chanzo cha wokovu kwa Dunia yote, hata imani yao ya kulitunza agano la kale la Mungu limeshinda, sasa utaona mambo ambayo ni machukizo makubwa mbele ya Mungu wanayafanya

Wanajeshi wako vitani huku wakifunga ndoa za jinsia moja, je kunasababu yoyote kwa Mungu kuzuia kichapo kwa nchi ya aina hiyo?
We nawe unatuandikia uharo, bla bla bla, eti nchi sijui ya Mungu, sijui biblia kimepanda kimeshuka,
Hao mazayuni unaoyahusudu yana uspesho gani tofauti na mnyakyusa wa Uyole?
Wao ni bora sana mbele za Mungu kuliko Muha wa Kigoma au mmakonde wa Chitoholi?

Tuache kuwakweza hawa watu, sisi sote ni sawa mbele ya uso wa Mungu.
 
Unachotakiwa kuelewa ni kwamba Mungu alibariki kile kizazi chote tangu ibrahim kuwepo kwa ushoga haina maana kwamba hakuna waisrael wanaolishika torati
 
Back
Top Bottom