Natamani kuacha kazi ya usalama wa Taifa(TISS)

Status
Not open for further replies.
na kama ataendelea kupost nyuzi za hivi kuchafua kazi za watu, mmh.
na alivyo popoma, anaweka namba za simu et atumiwe hela ahahah huyu atakuja kutumiwa combola, na hapo ndipo atajua maana ya TISS
Walah na afadhali sikua Moderator maan nahis hadi mim siku moja ningejipiga ban walah
 
We ni psychopath mkubwa? Mimi mbona ninayo maendeleo? Hao vijana wenzako wakiniiga mmepotea
Uandishi wa mtu humu JF unasadifu akili yako na mazingira yako.
Tuangalie na psychopath na nani ana Derealization Disorder
 
Siwezi andika hapa naogopa ulinzi waaliyeacha na Mimi nisipate shida ila kama unaweza kuacha acha ila hiyo sahau Kwa maana ni hadi waamue wao hiyo kazi sio rahisi unavyodhani yaani ni kazi tu hizi zakawaida ndio unaweza acha
 
Huu uzi 100% ni uongo namna tiss wanavyopewa zile device zao zinazofanana na simu na kupewa mashart flan juu yake (siwezi kuyataja hapa) huwezi andika huu uchokoraa wasikujue maana huacha alama ya tracking na tracing kumbuka kanuni yao kuu Kati ya nyingi (mbele ya mtu kuna mtu na nyuma ya mtu kuna mtu)
 
Uchokoraa like wise
 
Kipindi cha Bashite inawezekana
 
Acha ujinga ndugu hakuna usalama taifa mwenye akili ndogo Kama yako,,be care nakuambia kama umeshiba laal
 
Kama mtu wa mochwari haogopi kazi yake, kwa nini wewe uogope kazi yako?
 

Huwezi kuwa Tiss wewe....!!!
Btw kama nikufahamika, huchukui round...!!
Si ulifunga ndoa na Adelina Kimambo bhana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tangazo limekaa utamu sana natumaini huko Pm wananzengo soon watajaa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…