Natamani kuacha kazi ya usalama wa Taifa(TISS)

Natamani kuacha kazi ya usalama wa Taifa(TISS)

Status
Not open for further replies.
Unjani sabuwona.

Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.

Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.

Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.

Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa 0sababu ya kuilinda taasisi.Wakuu hii job ni mzuri interm of salary and allowance but ni Maputo sana.

Mnakumbukwa kutekwq kwa msaani fulani maarufu wa jimbo za kiharakati?tajiri maalufu je? Yule kada wa chadema mbeya ? Si mnakumbuka? I was among folks who involved kwenye ile mishe aisee na nyingi nyinginezo hii kazi task sio poa aisee

Nawasilisha mods msifute huu uzi tafadhali
Nenda duka la dawa uwaombe kwa unyenyekevu wakuuzie dawa zinaitwa modicates(sindano)!Utumie kwa mwezi mmoja hali yako itakuwa tahfif!
 
Screenshot_20210120-154853.jpg
 
Unjani sabuwona.

Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.

Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.

Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.

Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa 0sababu ya kuilinda taasisi.Wakuu hii job ni mzuri interm of salary and allowance but ni Maputo sana.

Mnakumbukwa kutekwq kwa msaani fulani maarufu wa jimbo za kiharakati?tajiri maalufu je? Yule kada wa chadema mbeya ? Si mnakumbuka? I was among folks who involved kwenye ile mishe aisee na nyingi nyinginezo hii kazi task sio poa aisee

Nawasilisha mods msifute huu uzi tafadhali

Yani huu ndo uandishi wa mtu wa Tiss? Rubish kabisa!
 
Unjani sabuwona.

Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.

Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.

Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.

Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa 0sababu ya kuilinda taasisi.Wakuu hii job ni mzuri interm of salary and allowance but ni Maputo sana.

Mnakumbukwa kutekwq kwa msaani fulani maarufu wa jimbo za kiharakati?tajiri maalufu je? Yule kada wa chadema mbeya ? Si mnakumbuka? I was among folks who involved kwenye ile mishe aisee na nyingi nyinginezo hii kazi task sio poa aisee

Nawasilisha mods msifute huu uzi tafadhali
Acha utapeli unasema uwezi kutaja kituo sasa kusema mission ulizofanya ujui unaweza tambulika cause waliowatuma si wanawajua
 
Unjani sabuwona.

Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.

Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.

Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.

Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa 0sababu ya kuilinda taasisi.Wakuu hii job ni mzuri interm of salary and allowance but ni Maputo sana.

Mnakumbukwa kutekwq kwa msaani fulani maarufu wa jimbo za kiharakati?tajiri maalufu je? Yule kada wa chadema mbeya ? Si mnakumbuka? I was among folks who involved kwenye ile mishe aisee na nyingi nyinginezo hii kazi task sio poa aisee

Nawasilisha mods msifute huu uzi tafadhali
Ndugu yangu nina jambo la kukuambia.

Mpaka sasa TISS wamekwama kudambua majina behind pen names za hapa JF. Lengo na madhumuni ni kuwanasa wale wanaoikosoa serikali kwa sababu viapo vya TISS ni LAZIMA awe sawa na CCM. Hivyo yeyote anayepinga hicho chama anampinga Rais ambaye ndiye sponsor wa Taasisi. Na kwa sababu kiapo ni kumserve sponsor kama kipaumbele cha kwanza kabla ya nchi, inaonekana ni hatari sana kwa sponsor kusemwa na kukosolewa mitandaoni. Kiufupi TISS ndo wanatumika kufanikia yote hayo.

Hii mbinu ya kuwaalika watu wakuonee huruma kisha wakufuate PM ukiwatega kwa kuomba ushauri ni mbinu hovyo sana.

Lakini fahamu kuwa siyo UT wote ambao wana akili kama zako. Wapo wanaotambua kuwa nchi na wananchi ndo kwanza kisha mengine baadaye. Ingawa wanauawa makumi kwa makumi lakini ipo siku nchi itakombolewa na kila mtu ataishi kwa kujoamini ndani ya nchi yake tofauti na sasa ambapo lazima uoneshe utii kwa mafisi.

Jambo la mwisho. Mtanzania asiyefahamu namna TISS kimuundo na ajira hakika atanasa kirahisi na mtawwokota wengi.

Ushauri wangu ni kuwa huu uzi ufutwe hauna nia njema
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom