Natamani kuacha kazi ya usalama wa Taifa(TISS)

Natamani kuacha kazi ya usalama wa Taifa(TISS)

Status
Not open for further replies.
Unjani sabuwona.

Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.

Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.

Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.

Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.

Mnakumbukwa kutekwa kwa msaani fulani maarufu wa jimbo za kiharakati? Tajiri maarufu je? Yule kada wa chadema Mbeya ? Si mnakumbuka? I was among folks who involved kwenye ile mishe aisee na nyingi nyinginezo hii kazi task sio poa aisee

Nawasilisha
Kama ndo kazi mnazofanya hiyo taasis ni kikundi Cha majambazi
 
Unjani sabuwona.

Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.

Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.

Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.

Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa 0sababu ya kuilinda taasisi.Wakuu hii job ni mzuri interm of salary and allowance but ni Maputo sana.

Mnakumbukwa kutekwq kwa msaani fulani maarufu wa jimbo za kiharakati?tajiri maalufu je? Yule kada wa chadema mbeya ? Si mnakumbuka? I was among folks who involved kwenye ile mishe aisee na nyingi nyinginezo hii kazi task sio poa aisee

Nawasilisha mods msifute huu uzi tafadhali
Kama Wewe ni TISS Agent kweli basi ulikuwa wrong recruited huko Idarani Kwani ukipitia tu hiki Ulichokiandika hapa utagundua hauna Akili na kama huna Akili pia huwezi kuwa Analytical kwa Hoja zako halafu huna Maadili ya Kiapo chako.

Na kwa Saikolojia yangu Kali na iliyotukuka nimegundua pia kuwa you might be suffering from a Maniac Bipolar hivyo nashauri wahi Milembe Mental Hospital Dodoma au Lutindi Mental Hospital Tanga ukaanze Tiba yako ya awali kabla haijawa Hatari zaidi.
 
Kama Wewe ni TISS Agent kweli bali ulikuwa wrong recruited huko ukipitia tu hiki Ulichokiandika hapa utagundua hauna Akili na kama huna Akili pia huwezi kuwa Analytical kwa Hoja zako halafu huna Maadili ya Kiapo chako.

Na kwa Saikolojia yangu Kali na iliyotukuka nimegundua pia kuwa you might be suffering from a Maniac Bipolar hivyo nashauri wahi Milembe Mental Hospital Dodoma au Lutindi Mental Hospital Tanga ukaanze Tiba yako ya awali kabla haijawa Hatari zaidi.
Hata Snowden alitema nyongo baada ya kuona Kuna mambo hayako sawa tuacheni unafki
 
Kama Wewe ni TISS Agent kweli basi ulikuwa wrong recruited huko Idarani Kwani ukipitia tu hiki Ulichokiandika hapa utagundua hauna Akili na kama huna Akili pia huwezi kuwa Analytical kwa Hoja zako halafu huna Maadili ya Kiapo chako.

Na kwa Saikolojia yangu Kali na iliyotukuka nimegundua pia kuwa you might be suffering from a Maniac Bipolar hivyo nashauri wahi Milembe Mental Hospital Dodoma au Lutindi Mental Hospital Tanga ukaanze Tiba yako ya awali kabla haijawa Hatari zaidi.
Huu ni upan'gang'a tu ukisoma post zake za nyuma ndo utamjua
 
Unjani sabuwona.

Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.

Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.

Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.

Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.

Nawasilisha

Siyo TISS huyu, ni kibaka tu anayetafuta attention humu! TISS wana miiko yao, hawawezi kuja kuropoka humu! Hawa ni magenge ya wavuta bangi tu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mtu mmoja hawezi kushiriki hizo OP zote ndani ya miaka 3

Pole saana kwa stress za kukosa nafasi tiss kitu ambacho kimefanya uwachukie mm mwenyewe nachukia jeshi letu hili dhaifu baada ya jamaa wa ikulu kushindwa kunipeleka MSATA nikale kozi ya ajira JW [emoji24][emoji24]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mtu mmoja hawezi kushiriki hizo OP zote ndani ya miaka 3

Pole saana kwa stress za kukosa nafasi tiss kitu ambacho kimefanya uwachukie mm mwenyewe nachukia jeshi letu hili dhaifu baada ya jamaa wa ikulu kushindwa kunipeleka MSATA nikale kozi ya ajira JW [emoji24][emoji24]
Nusu niangushe gari kwenye mtaro ni huyu huyu
 
Kama Wewe ni TISS Agent kweli basi ulikuwa wrong recruited huko Idarani Kwani ukipitia tu hiki Ulichokiandika hapa utagundua hauna Akili na kama huna Akili pia huwezi kuwa Analytical kwa Hoja zako halafu huna Maadili ya Kiapo chako.

Na kwa Saikolojia yangu Kali na iliyotukuka nimegundua pia kuwa you might be suffering from a Maniac Bipolar hivyo nashauri wahi Milembe Mental Hospital Dodoma au Lutindi Mental Hospital Tanga ukaanze Tiba yako ya awali kabla haijawa Hatari zaidi.
Mkuu Genta, inaonesha wewe ni mtaalamu wa afya, huu ugonjwa uliouandika unahusika na nini(Maniac Bipolar) ufafanuzi tafadhali
 
Hata mimi nataka kuancha kazi ya huu uwaziri niliokuwa nao,muda si mrefu najiuzuru,nchi ni vululu vululu tu,nikishauri sisikilizwii,yakiharibika nalaumiwa mimi,yaani ni ovyo ovyo tu,bora nikalime vitunguu huko kwetu ruaha
 
Kama lengo ni kutapeli watu basi umeshafeli, Tiss hupikwa wakapikika hawez kuja hapa kuandika rubbish....Peace of mind ni nini? Hapa maskin Hana peace of mind.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom