Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Posho mlimaAllowance zao kwa siku ni Tsh 800,000/- imagine that,lakini no peace of mind
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Posho mlimaAllowance zao kwa siku ni Tsh 800,000/- imagine that,lakini no peace of mind
Kama ndo kazi mnazofanya hiyo taasis ni kikundi Cha majambaziUnjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.
Mnakumbukwa kutekwa kwa msaani fulani maarufu wa jimbo za kiharakati? Tajiri maarufu je? Yule kada wa chadema Mbeya ? Si mnakumbuka? I was among folks who involved kwenye ile mishe aisee na nyingi nyinginezo hii kazi task sio poa aisee
Nawasilisha
Kama Wewe ni TISS Agent kweli basi ulikuwa wrong recruited huko Idarani Kwani ukipitia tu hiki Ulichokiandika hapa utagundua hauna Akili na kama huna Akili pia huwezi kuwa Analytical kwa Hoja zako halafu huna Maadili ya Kiapo chako.Unjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa 0sababu ya kuilinda taasisi.Wakuu hii job ni mzuri interm of salary and allowance but ni Maputo sana.
Mnakumbukwa kutekwq kwa msaani fulani maarufu wa jimbo za kiharakati?tajiri maalufu je? Yule kada wa chadema mbeya ? Si mnakumbuka? I was among folks who involved kwenye ile mishe aisee na nyingi nyinginezo hii kazi task sio poa aisee
Nawasilisha mods msifute huu uzi tafadhali
Mbona ametumia jina bandia au unamjua Kasa lake nin acha ujuajiHaya wewe mkubwa ulishindwa nini kufata protocol ili utoke kimyakimya bila kuweka mabango kama hayo kwa public I see and realize how stupid and arrogant you’re
Hata Snowden alitema nyongo baada ya kuona Kuna mambo hayako sawa tuacheni unafkiKama Wewe ni TISS Agent kweli bali ulikuwa wrong recruited huko ukipitia tu hiki Ulichokiandika hapa utagundua hauna Akili na kama huna Akili pia huwezi kuwa Analytical kwa Hoja zako halafu huna Maadili ya Kiapo chako.
Na kwa Saikolojia yangu Kali na iliyotukuka nimegundua pia kuwa you might be suffering from a Maniac Bipolar hivyo nashauri wahi Milembe Mental Hospital Dodoma au Lutindi Mental Hospital Tanga ukaanze Tiba yako ya awali kabla haijawa Hatari zaidi.
Tatizo ni la kijana au taasisi yenyewe ambayo inatumika kwa maslai ya ccm na sio ya taifaNaona unaendeleza gurudumu la kuchangamsha genge.
Kwa vijana kama huyu Tanzania inamiaka 300 kupata maendeleo.
Huu ni upan'gang'a tu ukisoma post zake za nyuma ndo utamjuaKama Wewe ni TISS Agent kweli basi ulikuwa wrong recruited huko Idarani Kwani ukipitia tu hiki Ulichokiandika hapa utagundua hauna Akili na kama huna Akili pia huwezi kuwa Analytical kwa Hoja zako halafu huna Maadili ya Kiapo chako.
Na kwa Saikolojia yangu Kali na iliyotukuka nimegundua pia kuwa you might be suffering from a Maniac Bipolar hivyo nashauri wahi Milembe Mental Hospital Dodoma au Lutindi Mental Hospital Tanga ukaanze Tiba yako ya awali kabla haijawa Hatari zaidi.
Unjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.
Nawasilisha
Nusu niangushe gari kwenye mtaro ni huyu huyu[emoji23][emoji23][emoji23] mtu mmoja hawezi kushiriki hizo OP zote ndani ya miaka 3
Pole saana kwa stress za kukosa nafasi tiss kitu ambacho kimefanya uwachukie mm mwenyewe nachukia jeshi letu hili dhaifu baada ya jamaa wa ikulu kushindwa kunipeleka MSATA nikale kozi ya ajira JW [emoji24][emoji24]
Mkuu Genta, inaonesha wewe ni mtaalamu wa afya, huu ugonjwa uliouandika unahusika na nini(Maniac Bipolar) ufafanuzi tafadhaliKama Wewe ni TISS Agent kweli basi ulikuwa wrong recruited huko Idarani Kwani ukipitia tu hiki Ulichokiandika hapa utagundua hauna Akili na kama huna Akili pia huwezi kuwa Analytical kwa Hoja zako halafu huna Maadili ya Kiapo chako.
Na kwa Saikolojia yangu Kali na iliyotukuka nimegundua pia kuwa you might be suffering from a Maniac Bipolar hivyo nashauri wahi Milembe Mental Hospital Dodoma au Lutindi Mental Hospital Tanga ukaanze Tiba yako ya awali kabla haijawa Hatari zaidi.
Tusiende mbali, unaamini kabisa Lubumbashi ni TISS🙌🙌😂Tatizo ni la kijana au taasisi yenyewe ambayo inatumika kwa maslai ya ccm na sio ya taifa
Huyu damn Fool hajafikia hata tu 25% ya IQ na Uwezo wa Kiutendaji wa Edward Snowden hivyo acheni kutupotezea muda wenye Akili sawa?Hata Snowden alitema nyongo baada ya kuona Kuna mambo hayako sawa tuacheni unafki
Huna Google katika Simu yako Uulize?Mkuu Genta, inaonesha wewe ni mtaalamu wa afya, huu ugonjwa uliouandika unahusika na nini(Maniac Bipolar) ufafanuzi tafadhali
Hopeless.Hayo masuala ya akili mbali hivo ya nini mimi nimeuliza hizi habari huwa wanaziokotea wapi kwanza?!
Maana kila mtu TISS!