Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Namba yako hiyo hapo, rudi facebook hapa siyo mahala pako.We mkamatishe huyo jobless mwenzako kwa kumchoresha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba yako hiyo hapo, rudi facebook hapa siyo mahala pako.We mkamatishe huyo jobless mwenzako kwa kumchoresha tu
Hiyo haiondoi nilivyo mkuuHaya wewe mkubwa ulishindwa nini kufata protocol ili utoke kimyakimya bila kuweka mabango kama hayo kwa public I see and realize how stupid and arrogant you’re
Psychopath mwenzio akikupa ushauri usinune.Tumia.Naona hizi dawa umezizoea sana kwa sababu we unatumia sana I seee! Psychopath we
Hamna tiss hapo, ni kajamaa kameshiba dona huko uswazi kanakuja kusumbua watu hapa.this is a treason once u sworn an oath
Wape Tiss wanapigie
Hiyo nimetumia sana kwanini nisinunue sodium valporate mkuuPsychopath mwenzio akikupa ushauri usinune.Tumia.
Tumia hata magadi soda(sodium bi-carbonate) huleta afueni.Hiyo nimetumia sana kwanini nisinunue sodium valporate mkuu
Niko involuntary admitted hapa mwananyamala! We ni mbwaKama Wewe ni TISS Agent kweli basi ulikuwa wrong recruited huko Idarani Kwani ukipitia tu hiki Ulichokiandika hapa utagundua hauna Akili na kama huna Akili pia huwezi kuwa Analytical kwa Hoja zako halafu huna Maadili ya Kiapo chako.
Na kwa Saikolojia yangu Kali na iliyotukuka nimegundua pia kuwa you might be suffering from a Maniac Bipolar hivyo nashauri wahi Milembe Mental Hospital Dodoma au Lutindi Mental Hospital Tanga ukaanze Tiba yako ya awali kabla haijawa Hatari zaidi.
Bora ya wavuta bangi kuliko TISS, hao TISS ni unprofessional chawa waliojazwa propaganda na kupewa silaha, wamegeuzwa walinzi wa utawala wa CCM na kusahau majukumu yaoSiyo TISS huyu, ni kibaka tu anayetafuta attention humu! TISS wana miiko yao, hawawezi kuja kuropoka humu! Hawa ni magenge ya wavuta bangi tu!
Hata hii pia nilitumia mkuu! Naona nitumia diazepam nilale kabisa we unasemaje?Tumia hata magadi soda(sodium bi-carbonate) huleta afueni.
HahahahaKama lengo ni kutapeli watu basi umeshafeli, Tiss hupikwa wakapikika hawez kuja hapa kuandika rubbish....Peace of mind ni nini? Hapa maskin Hana peace of mind.
Mi nimekuelewa sana Mkuu. Najua hali unayopitia si ya kawaida, Pole sana.Unjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.
Nawasilisha
Sahihi aliingia kimchongo tu choko hilo.Uliingia either kimchongo au yawezekana spoter hakufanya vetting ya kutosha, maana hata ethics za kazi hujui.
TISS wa Tanzania hawaangalii kama unakili wewe kuwa kada wa ccm na ujue kujikomba kwa viongozi wa ccm tayari wewe ni TISSHuyu damn Fool hajafikia hata tu 25% ya IQ na Uwezo wa Kiutendaji wa Edward Snowden hivyo acheni kutupotezea muda wenye Akili sawa?
Mshaurini akatibiwe Ubongo haraka.
Kabla ya hiyo waombe wakuchome lignocaine kwenye magoti.Utapata uhuru wa roho na mwili.Hata hii pia nilitumia mkuu! Naona nitumia diazepam nilale kabisa we unasemaje?
Kwa hiyo hapo unataka kusema ametumwa na nani ??Alokutuma kakulipa kias gan mkuu mbona unahatarisha maisha yako Kwa kutumika vibaya kisiasa kirahisrahis?